Dickson Edwin Mgaya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2020
- 513
- 1,422
Hiyo itakuwa funga kazi! Tunaisubiri kwa hamu zote!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marehemu wenu mwenyewe alishindwa mpaka anaingia kaburini sembuse huyo mpuuzi?Anataka kumuongelea Sabaya?
Naona kila kitu kinabweka Sasa.Yetu Macho
Aingie kwenye uchaguzi Buhigwe aongeze wa bunge.Naam,
Natumai itakuwa Hotuba nzuri yenye kutuleta pamoja Kama taifa, kutushikamanisha na kutuliza vidonda vya maumivu ya yale tuliyoyapitia hususani Uchafuzi(Uchaguzi) uliopita, na dira ya Taifa akiwa kama jicho la tatu la Taifa.
Freeman Aikael Mbowe Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu Hapa Duniani.
Aliyekuamia atapitishwa kugombea na CCM 2025 ni nani?CCM haiwezi kuchezea shillingi chooni,hatujasahau changamoto ya 2015.CDM wakijipanga vizuri wanachukua nchi 2025..
provided kuna tume huru......
pambanieni sana tume huru....
acheni blah blah mingi
raisi SSH ameshasema hataki kodi za dhuruma obvious hatopenda kura za dhuruma pia...
akishidwa kihalali ataachia kiti....
so CDM kazeni buti It's now or never
Pole sana MnyongeAeleze pia Mwenyekiti wa kanda ya kaskazini Godbess Lema anaendeleaje kuwa mwenyekiti wakati yuko Canada ukimbizini.Wakimbizi huwa hawaruhusiwi kujihusisha na siasa.Hicho cheo chake nafasi itazobwa lini?
Karibu sana mkuu hiyo keshoNajaribu kuwaza hiyo hatuba ya kutikisa nchi
Hawezi kuhutubia taifa..,.atazungumza na vyombo vya habari...anayezungumza na taifa haaliki waandishi wa habari Bali anazungumza na taifa akiwa Ikulu na speech yake inarushwa Moja kwa Moja..Sasa sijui itakuwaje , utazima redio au utazima Tv ? maana Mwamba ndio anajipanga kuhutubia Taifa
Ndio ni kiongozi wa upinzani na pia kiongozi wa chama kikuu cha upinzani kwenye taifa letu.Kwani ni kiongozi wa Kitaifa?
Anahutubia Taifa kama nani? Acheni kujipaisha
Shukrani sana kwa kutufuatiliaWashenz wameanza kuinua vichwa! Midomo ilikua imechacha kwa miaka 5, sasa umeanza kuifunua.
Mbona kipindi Mangu yuko hai hukuinua chongo yako. Haya tutakuja kuona unavyo kengezesha kengezesha mimacho.
Karibu sana mkuuAnahutubia Taifa kama nani? Acheni kujipaisha
endelea kutega sikioLinataka kuongea nini hili Nyumbu kuu la Wafipa?
Kesho ni siku ya ibada!
Wote mnakaribishwa .