maruudaniel
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 888
- 1,073
Hili ni bwiji la siasa Tanzania kwa sisi ccm wenye hekima tutamsikiliza ili kupata hoja za muhimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauliza vumbi stoo?Kwani ni kiongozi wa Kitaifa?
Hii nchi ina maigizo sana utadhani ni jamhuri ya watu wa SINEMA ZETUUnauliza vumbi stoo?
Ni mdogo sana kwakwe huyu... Mbowe si mfinyu wa kujadili watuAnataka kumuongelea Sabaya?
Ushamsikia tena akifanya ufedhuri baada ya tarehe 17 March? Kimbora chake kwishney, muda si mrefu anageuka mboga, twasubiri tu list ya Mama ya DC's na DED's.Sabaya tu kamchachafya ataweza sasa mengine? Alishashuka hadhi huyo
Jr mweleweshe vizuri hamjui mboweNi mdogo sana kwakwe huyu... Mbowe si mfinyu wa kujadili watu
Mipango inaendeleaItakuwa poa sana kama hiyo press itakuwa live kwenye tv
Tujuzane mkuu endapo wataconfirm broadcasting kwenye yv channelsMipango inaendelea
Hahahaa, yeye mwenyeqe alishatikisika sasa atatikisa wapi au ufipa?mbona unauliza jibu
Mimi bado siaminiCHADEMA wakijipanga vizuri wanachukua nchi 2025.
provided kuna tume huru.
pambanieni sana tume huru
acheni blah blah mingi
raisi SSH ameshasema hataki kodi za dhuruma obvious hatopenda kura za dhuruma pia.
akishidwa kihalali ataachia kiti.
so CHADEMA kazeni buti It's now or never
Kanisa gani la saa 9?Kanisani haendi,s afanye saa 10 jion
Wa chatoSio wa ufipa?
Atatikisa chatoHahahaa, yeye mwenyeqe alishatikisika sasa atatikisa wapi au ufipa?
Ufipa ndio sawaWa chato
Kwani CHADEMA ni taifa?mbona unauliza jibu