Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #161
labda yale ya kukanyaga mafutaKanisa gani la saa 9?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
labda yale ya kukanyaga mafutaKanisa gani la saa 9?
ALIJIFICHA MDA WOTE SAIZI MNAKUJA NA UPUUZI WENU
Wote mnakaribishwa .
Kanisa katoliki likitaka hakuna Cha Tiss Wala Jeshi litakalozuia uamuzi wa wananchi. Believe me Kanisa katoliki ndo mlezi wa CCM. Kama unabisha uliza Kenya na Drc. Kwa Zambia na Malawi Ni Kanisa la kiprotesnt.hutaki unaacha!Linapokuja suala la CCM kubakia madarakani kwa wizi wa kura, mgombea wao wa urais (incumbent Rais) huwa analazimishwa hata kama atasema eti hataki, ingawa sijui kama iliwahi kutokea huko nyuma kwa Rais hata mmoja aliyewahi kutaka kuondoka na kutamani maamuzi ya watu yaheshimiwe
Suala CCM kuendelea kukaa pale madarakani TISS na Jeshi wanalitreat kama usalama wa Taifa na wala haitokuja itokee mpinzani apewe Nchi kwa Katiba na mfumo wa NEC wa sasa. Hili wala hatuhitaji kudebate otherwise ni kujipa false hopes
Hasara aliyosababisha Sabaya analipa nani au Serikali?Sabaya tu kamchachafya ataweza sasa mengine? Alishashuka hadhi huyo
Asante kwa kujaALIJIFICHA MDA WOTE SAIZI MNAKUJA NA UPUUZI WENU
Hujabadilika tu !!Anataka kumuongelea Sabaya?
siwezi badilishwa na mafisadiHujabadilika tu !!
Yaani bado unatumia makalio kufikiri🐖🐖🐖😠 kweli ww
Endelea kutumia makalio kuongeasiwezi badilishwa na mafisadi
Tulia tukunyoe kwa chupaEndelea kutumia makalio kuongea
Umnyoe nani ndezi ww..Tulia tukunyoe kwa chupa
You are fooling yourself. Kanisa katoliki halina lolote when it comes to these matters.Kanisa katoliki likitaka hakuna Cha Tiss Wala Jeshi litakalozuia uamuzi wa wananchi. Believe me Kanisa katoliki ndo mlezi wa CCM. Kama unabisha uliza Kenya na Drc. Kwa Zambia na Malawi Ni Kanisa la kiprotesnt.hutaki unaacha!
JPM anaishi kwenye mioyo ya watanzaniaUmnyoe nani ndezi ww..
Meko wenu kenda zake msitegemme atarudi sasa mama anawarudishia akili zenu bado mnajifanya hamnazo 🐖🐖🐖👹nyinyi
Huna taarifa za DRC wewe na why RC walikubali yaishe. Kifupi hujui nguvu za taasisi za dini katika mabadiliko ya kimfumo wa nchi. Subiri siku ndoa ya Kanisa katoliki ikiisha Kama CCM itachukua round.You are fooling yourself. Kanisa katoliki halina lolote when it comes to these matters.
Hiyo DRC yenyewe unayoitaja RC waliishia kusema data zilizokusanywa na observers wao zilionyesha mshindi tofauti na Felix Tshisekedi lakini hawakuwa na ujasiri wa kuzipublish. Leo Rais wa DR Congo unamjua ni nani
Huna taarifa za DRC wewe na why RC walikubali yaishe. Kifupi hujui nguvu za taasisi za dini katika mabadiliko ya kimfumo wa nchi. Subiri siku ndoa ya Kanisa katoliki ikiisha Kama CCM itachukua round.