Hotuba ya Freeman Mbowe (CHADEMA) kwa Taifa - Aprili 11, 2021

Hotuba ya Freeman Mbowe (CHADEMA) kwa Taifa - Aprili 11, 2021

Mbowe alikuwa wapi tangia uchaguzi uishe na kugaragazwa, maaana hata huku hai hajaonekana kabisaa!!.

anataka kuzungumzia mambo ya uchaguzi nini?

Kama ni masuala ya KATIBA MPYA bado huu sio muda wake, sasa ni wakati wa kulijenga taifa letu na sio kuonyeshana ujuzi wa kujenga hoja.
 
Anayeweza kuhutubia Taifa ni mmija tu....ni Rais was nchi na Amiri Jeshi Mkuu.
Sasa sijui itakuwaje , utazima redio au utazima Tv ? maana Mwamba ndio anajipanga kuhutubia Taifa
 
Mbowe alikuwa wapi tangia uchaguzi uishe na kugaragazwa, maaana hata huku hai hajaonekana kabisaa!!.

anataka kuzungumzia mambo ya uchaguzi nini?

Kama ni masuala ya KATIBA MPYA bado huu sio muda wake, sasa ni wakati wa kulijenga taifa letu na sio kuonyeshana ujuzi wa kujenga hoja.
Endelea kutega sikio
 
Mbowe tu ndo mwenye akili wengine wote ni makanjanja, wachumia matumbo, na wenye matatatizo ya akili,
Wanastahili kupingwa na kila mwananchi.
 
Mbowe alikuwa wapi tangia uchaguzi uishe na kugaragazwa, maaana hata huku hai hajaonekana kabisaa!!.

anataka kuzungumzia mambo ya uchaguzi nini?

Kama ni masuala ya KATIBA MPYA bado huu sio muda wake, sasa ni wakati wa kulijenga taifa letu na sio kuonyeshana ujuzi wa kujenga hoja.
hakuna aliyegaragazwa zaidi ya ule ushetani uliofanywa na wakuu wenu ambao ulikuwa chikizo kubwa sana kwa Mwenyezi Mungu na Mwenyezi Mungu akasikia kilio chetu kutoka juu.
 
Mbowe atalisaidia Taifa sana,kutokana na uzoefu wake wa kuongoza Chama Kikuu cha Upinzani,na kambi rasmi ya upinzani Bungeni kumshauri Mh.Rais katika maswala mbalimbali.

Kubwa asisahahu Katiba Mpya,hayo ya Tume Huru yamo ndani.Pia amshtaki Spika kwa kuendelea kuwalinda wale wabunge 19.
Mwisho amtakie heri Mh.Rais SSH atuvushe salama.Amhakikishie ushirikiano uliotukuka kusudi 2025 tuwe na Uchaguzi Huru.
 
Mbowe aeleze hilo jengo la Chadema walilonunua kwa milioni 50 bila kufuata taratibu liko eneo gani hapo Serengeti linatumika kwa kazi gani? Kuhifadhi magaidi au?
 
Aeleze pia Mwenyekiti wa kanda ya kaskazini Godbess Lema anaendeleaje kuwa mwenyekiti wakati yuko Canada ukimbizini.Wakimbizi huwa hawaruhusiwi kujihusisha na siasa.Hicho cheo chake nafasi itazobwa lini?
 
Mbowe alikuwa wapi tangia uchaguzi uishe na kugaragazwa, maaana hata huku hai hajaonekana kabisaa!!.

anataka kuzungumzia mambo ya uchaguzi nini?

Kama ni masuala ya KATIBA MPYA bado huu sio muda wake, sasa ni wakati wa kulijenga taifa letu na sio kuonyeshana ujuzi wa kujenga hoja.
Kifo humkuta mwanadamu Mara moja tu katika maisha yake na anabakia katika historia kama Jiwe kilivyomkuta.
Hivyo hekima na busara za CDM chini ya Mwenyekiti Mh.Mbowe walijiweka pembeni kumpisha Bulldozer lipite kwanza,na kweli Mungu siyo Athuman Janguo limepita na kuwaacha salama.Sasa ni wakati wa kusafisha masalia yake na kulijenga Taifa letu lisilokuwa na wanyonge.
Tunakuja kivingine huku tukitambua kuwa kila zama na kitabu chake.Ni mwendo wa kudai Katiba Mpya ya Wananchi na yeyote asituambie tusubiri.CDM na wapinzani wa kweli tunatarajia mtawaongoza Wananchi wa Tanzania kudai Katiba yao none stop hadi ipatikane no matter what!
 
Keshasema hataki kodi za dhuruma obvious hatopenda kura za dhuruma.....so komaeni njia nyeupe....
nadhani atakubali kuachia madaraka CCM wakishindwa uchaguzi
Linapokuja suala la CCM kubakia madarakani kwa wizi wa kura, mgombea wao wa urais (incumbent Rais) huwa analazimishwa hata kama atasema eti hataki, ingawa sijui kama iliwahi kutokea huko nyuma kwa Rais hata mmoja aliyewahi kutaka kuondoka na kutamani maamuzi ya watu yaheshimiwe

Suala CCM kuendelea kukaa pale madarakani TISS na Jeshi wanalitreat kama usalama wa Taifa na wala haitokuja itokee mpinzani apewe Nchi kwa Katiba na mfumo wa NEC wa sasa. Hili wala hatuhitaji kudebate otherwise ni kujipa false hopes
 
Back
Top Bottom