Tulia, utajionea kama ni ya wana CHADEMA au taifa! Rais wa nchi hii wote wanatekeleza sera za kambi ya upinzani, na mama yetu ameanza na mguu huo. Huyo mwendazake kafanya vitu ambavyo upinzani huo wa CHADEMA ulipigia kelele kwa zaidi ya miaka 10, ujinga wake ni ujuaji na kukosa taarifa za kutosha.Hio ni hotuba kwa nyie wanachadema sio taifa. Taifa anahutubia Rais pekee
Tena minyoo kambaHuyo mkuu ana minyoo
KabisaTena
Tena minyoo kamba
KabisaTulia, utajionea kama ni ya wana CHADEMA au taifa! Rais wa nchi hii wote wanatekeleza sera za kambi ya upinzani, na mama yetu ameanza na mguu huo. Huyo mwendazake kafanya vitu ambavyo upinzani huo wa CHADEMA ulipigia kelele kwa zaidi ya miaka 10, ujinga wake ni ujuaji na kukosa taarifa za kutosha.
Tumekupima ujinga wako.... nimnono kwakweli, sikunyingine bora utafute point kwa yeyote unayeamini anawelewa akupe chakuchangia!Ili Prof Assad na wengine wote wanaotaka kuichafua oil chafu wanatakiwa wafanye kinyume na Magufuli kama ifuatavyo.
Miradi yake mingine inaleta foleni na mingine hasara? Ni rahisi tu, kwa nini tuendelee na Ma-foleni na Ma-hasara? ...Nashauri Vunjeni Madaraja na Flyovers zote, Ng'oeni reli zote especilly SGR, uzeni Ndege zote na vivuko vyote nchini, Uza Meli zote Mpya zilizozinduliwa, kule Ziwa nyasa, simamisheni Ujenzi wa Bwawa la umeme, Gaweni Migodi yote, Binafsisheni Milima, Maziwa na Mbuga.
Bomoa Bandari zote zilizoboreshwa ikiwemo Mtwara, Tanga na Dar, Jengeni moja ya Wachina kwa mkataba wa miaka 100...rudisheni Ada shuleni tukuze uchumi, Wapeni Matajiri Exemptions za kodi, Ruhusuni Makinikia kwenda nje, Vunjeni Masoko mapya ya Madini mikoani, ...Charaza Bakora Machinga mjini, Mwaga wali wa Mama Ntilie.
Vunja vyama vya wakulima na utaratibu wa stakabadhi ghalani, Ruhusuni Uhuru wa Mashoga, Mateja kwa wingi mtaani, madawa ya kulevya n.k....pia Msisahau kuifunga ile Mahakama ya Mafisadi,....kwa uchache tu Hakika hapo sasa pengine Tanzania itakuwa kama ULAYA, Tanzania ya Asali na Maziwa!.
Vunjeni makao makuu Dodoma mrudishe serikali Dar.
Hapo sasa mtakuwa mmemkomoa Magufuli na watoto wake watashinda njaa ili anyooke kabisa.
Nawasilisha
Naona mabaya ya Magu yanazidi kupasua anga za Tanzania kila kukicha.Punguza kihedemswede.
Mama anayajua mazuri ya Magu na mabaya ya Magu.
Ngoja kwanza tumsikilize Zitto!
Haya ni mawazo mfu!!ili kumtetea shujaa wenu kwani hizo pesa alizotumia kujengea hiyo miradi ilikuwa pesa yake??stahiki ngapi za wananchi zilikosekana kutokana na ujenzi wa hiyo miradi?inshu hapa hasemwi marehemu bali ni matendo yake juu ya aliyoifanyia nchi, kwani kama ni hasara hata kizazi kinachokuja kitaathirika!!kwa hiyo alipokosea asisemwe?tatizo lenu ni aibu kwani aliwaaminisha kuwa ni mzalendo sana, sasa na nyie mnashangaa heee, kumbe mambo yako hivi?!!hata nyerere, mkapa, mwinyi na jk, kuna mambo walikosea lakini wao uzuri wao hawakuyaficha yalijulikana tu yalipotokea, ndio maana hata walipitoka hakukuwa na jipya, sasa huyo shujaa wenu alijifanya kuyaficha na wajinga mkajua kila kitu kiko sawa!!sasa hayupo mambo ndio hayaaa, tulieni tu, hili litakuwa fundisho kwa wengine!!Na mbona bado sana yajayo yanasikitishaaa.eti tuvunje so what??Ili Prof Assad na wengine wote wanaotaka kuichafua oil chafu wanatakiwa wafanye kinyume na Magufuli kama ifuatavyo.
Miradi yake mingine inaleta foleni na mingine hasara? Ni rahisi tu, kwa nini tuendelee na Ma-foleni na Ma-hasara? ...Nashauri Vunjeni Madaraja na Flyovers zote, Ng'oeni reli zote especilly SGR, uzeni Ndege zote na vivuko vyote nchini, Uza Meli zote Mpya zilizozinduliwa, kule Ziwa nyasa, simamisheni Ujenzi wa Bwawa la umeme, Gaweni Migodi yote, Binafsisheni Milima, Maziwa na Mbuga.
Bomoa Bandari zote zilizoboreshwa ikiwemo Mtwara, Tanga na Dar, Jengeni moja ya Wachina kwa mkataba wa miaka 100...rudisheni Ada shuleni tukuze uchumi, Wapeni Matajiri Exemptions za kodi, Ruhusuni Makinikia kwenda nje, Vunjeni Masoko mapya ya Madini mikoani, ...Charaza Bakora Machinga mjini, Mwaga wali wa Mama Ntilie.
Vunja vyama vya wakulima na utaratibu wa stakabadhi ghalani, Ruhusuni Uhuru wa Mashoga, Mateja kwa wingi mtaani, madawa ya kulevya n.k....pia Msisahau kuifunga ile Mahakama ya Mafisadi,....kwa uchache tu Hakika hapo sasa pengine Tanzania itakuwa kama ULAYA, Tanzania ya Asali na Maziwa!.
Vunjeni makao makuu Dodoma mrudishe serikali Dar.
Hapo sasa mtakuwa mmemkomoa Magufuli na watoto wake watashinda njaa ili anyooke kabisa.
Nawasilisha
nipo kwenye session huku Mwanza, mtuletee kwa muhtasari kama jana assad alivyofanya.
Ili Prof Assad na wengine wote wanaotaka kuichafua oil chafu wanatakiwa wafanye kinyume na Magufuli kama ifuatavyo.
Miradi yake mingine inaleta foleni na mingine hasara? Ni rahisi tu, kwa nini tuendelee na Ma-foleni na Ma-hasara? ...Nashauri Vunjeni Madaraja na Flyovers zote, Ng'oeni reli zote especilly SGR, uzeni Ndege zote na vivuko vyote nchini, Uza Meli zote Mpya zilizozinduliwa, kule Ziwa nyasa, simamisheni Ujenzi wa Bwawa la umeme, Gaweni Migodi yote, Binafsisheni Milima, Maziwa na Mbuga.
Bomoa Bandari zote zilizoboreshwa ikiwemo Mtwara, Tanga na Dar, Jengeni moja ya Wachina kwa mkataba wa miaka 100...rudisheni Ada shuleni tukuze uchumi, Wapeni Matajiri Exemptions za kodi, Ruhusuni Makinikia kwenda nje, Vunjeni Masoko mapya ya Madini mikoani, ...Charaza Bakora Machinga mjini, Mwaga wali wa Mama Ntilie.
Vunja vyama vya wakulima na utaratibu wa stakabadhi ghalani, Ruhusuni Uhuru wa Mashoga, Mateja kwa wingi mtaani, madawa ya kulevya n.k....pia Msisahau kuifunga ile Mahakama ya Mafisadi,....kwa uchache tu Hakika hapo sasa pengine Tanzania itakuwa kama ULAYA, Tanzania ya Asali na Maziwa!.
Vunjeni makao makuu Dodoma mrudishe serikali Dar.
Hapo sasa mtakuwa mmemkomoa Magufuli na watoto wake watashinda njaa ili anyooke kabisa.
Nawasilisha
Wamepagawa eti toka shujaa wa Afrika hadi wa kitongoji?kwa yale mapambio yao, yaani heshima ya shujaa wao imefutika hata mwezi mmoja bado!!ila kwa hili lililotokea liwe fundisho kwa viongozi wengine!!Tukishavunja hela zetu zinarudi mkuu au ndo nyie mnaokuja JF na akili za facebook
Ngoja nimjibie namba 1 , Mbowe binafsi hana uwezo wa kuingilia ama hata kupinga maamuzi ya Kamati KuuMaswali yangu kwa Mbowe;
1.Vipi amewasamehe kina Halima Mdee na wenzake ili waendelee kuiwakilisha Chadema pale bungeni?.
2. Mbowe aliwahi kuomba maridhiano na Hayati Magufuli ila maombi yake yalitupwa, Vipi atajaribu kuomba tena maridhiano kwa Rais mpya?
3. Vipi msimamo wa Chadema, itashiri uchaguzi mdogo wa ubunge kule Kigoma?.
4. Vipi makamu mwenyekiti Lisu atarejea lini?. Maana mtesi wake hayupo tena na yeye ameshapona
5. Ana maoni gani juu ya riport ya CAG?
Tulia, utajionea kama ni ya wana CHADEMA au taifa! Rais wa nchi hii wote wanatekeleza sera za kambi ya upinzani, na mama yetu ameanza na mguu huo. Huyo mwendazake kafanya vitu ambavyo upinzani huo wa CHADEMA ulipigia kelele kwa zaidi ya miaka 10, ujinga wake ni ujuaji na kukosa taarifa za kutosha.
Sio Rais pekee anaeweza kulihutubia taifa. Hata wewe ukiweza kuandaa press conference itakayovutia attention ya watanzania, kwaajili ya masuala yanayowahusu watanzania wote kwa ujumla, utakua umelihutubia taifa!
Ili Prof Assad na wengine wote wanaotaka kuichafua oil chafu wanatakiwa wafanye kinyume na Magufuli kama ifuatavyo.
Miradi yake mingine inaleta foleni na mingine hasara? Ni rahisi tu, kwa nini tuendelee na Ma-foleni na Ma-hasara? ...Nashauri Vunjeni Madaraja na Flyovers zote, Ng'oeni reli zote especilly SGR, uzeni Ndege zote na vivuko vyote nchini, Uza Meli zote Mpya zilizozinduliwa, kule Ziwa nyasa, simamisheni Ujenzi wa Bwawa la umeme, Gaweni Migodi yote, Binafsisheni Milima, Maziwa na Mbuga.
Bomoa Bandari zote zilizoboreshwa ikiwemo Mtwara, Tanga na Dar, Jengeni moja ya Wachina kwa mkataba wa miaka 100...rudisheni Ada shuleni tukuze uchumi, Wapeni Matajiri Exemptions za kodi, Ruhusuni Makinikia kwenda nje, Vunjeni Masoko mapya ya Madini mikoani, ...Charaza Bakora Machinga mjini, Mwaga wali wa Mama Ntilie.
Vunja vyama vya wakulima na utaratibu wa stakabadhi ghalani, Ruhusuni Uhuru wa Mashoga, Mateja kwa wingi mtaani, madawa ya kulevya n.k....pia Msisahau kuifunga ile Mahakama ya Mafisadi,....kwa uchache tu Hakika hapo sasa pengine Tanzania itakuwa kama ULAYA, Tanzania ya Asali na Maziwa!.
Vunjeni makao makuu Dodoma mrudishe serikali Dar.
Hapo sasa mtakuwa mmemkomoa Magufuli na watoto wake watashinda njaa ili anyooke kabisa.
Nawasilisha