Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Nimefungua kwa speed baada ya kichwa cha habari nikitarajia madini.

Duh, hata mimi mnyakyusa wa Bujonde najitahidi kuliko yeye😃😃😃.
Si angetumia Kiswahili tu..Watanazania hii lugha iliyokuja na majahazi ni changamoto kwa waliowengi...Wengine tuwachie Mhe Rais na Spika ndio wanaiweza hiyo lugha...Waziri ni kiongozi mmoja mzuri sana Ila amekipendenda kiingereza na kiingereza kimemkataa..Angeongea kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili angeweza sana na angekuwa amekitangaza Kiswahili..Tukipende Kiswahili viongozi
 
Rudi kwenye mada acha chuki..Watanzania tupendane..unayosema unaweza kuambiwa uyathibitishe ukashindwa Ila unasukumwa tu na chuki..Tupendane ndugu zangu..
 
Teuzi za Tanzania zinategemea unasmile vipi kwa wakubwa, nashangaa yule jamaa wa "Samia awabubujisha machozi wamasai" hawamuoni kabisa
 
Rudi kwenye mada acha chuki..Watanzania tupendane..unayosema unaweza kuambiwa uyathibitishe ukashindwa Ila unasukumwa tu na chuki..Tupendane ndugu zangu..
Sasa mie nimchukie Jenny kwanini? Na akati mbunge wa jimbo langu.
Haya turudi kwenye mada, je kapuyanga au hajapuyangaa?
Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hoja nzuri sana hii.....japo uwaziri ni cheo cha kisiasa tu ila taaluma ni muhimu sana ikizingatiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…