Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Kuna msomi aliyesoma kwa Kimatumbi? Haiwezekani ukasoma hadi masters degree kisha usijue Kiingereza ilhali tangu kidato cha kwanza unaitumia lugha hiyo.
😁

Mnamuonea Jenny,
Kuna mwamba alikuwa ni 'Prezzo' kabisa lakini kwa mujibu wa Lissu,
Nanukuu na kwa tafsiri isiyo rasmi,
'Hawezi hata kutengeneza sentensi moja iliyonyooka ya Kiingereza kwa usahihi' kumbuka wasifu wake ni 'Doktori'
Hii Nchi ina maruweruwe yake jamani.
 
Angeenda mzee wa katiba na sheria, angekimanya kimalikia vizuri bila tashwishwi na mawaa
Yule nae mjanja mjanja tu alinukuliwa kwenye kongamano fulani U.S akiwa anaongea na Mbongo ambae kalowea kule na ambae ni Daktari wa Figo mzee wako akawa anatoa macho anaitilaitika na kubung'aa tu,
utacheka yani ukiiona hiyo.
 
Ni aibu taaluma ya afya kupewa waziri mwenye elimu ya diploma chuo Cha ualimu .. anajua nini kuhusu afya.. nakumbuka Rais museveni akisikiliza hotuba kutoka kwa waziri wake wa afya anaongea akijiamini kwakuwa anajua taaluma yake.. huku Tanzania waziri anasimamia sera tu basi na uchawa katika chama
 
Yaani hajui kwamba anaitwa chairman
 
Tatizo lenu ni slavery mentality imewakaa vichwani mwenu. Mnafikiri mtu akiongea kiingereza ndio msomi.
Sasa wewe usie slave hicho kinge hapo umeweka cha nini? Tatizo la uslave ni letu na wewe ukiwemo.
 
Tukumbushie na ile ya South Africa ya kwamba "Tanzania is union of Zimbabwe and Mafia" oh!! No, sorry!! It is Zambia and Pemba
Hii naikumbuka.
Ila nimesahau aliyeongea maana ni miaka ishapita na mambo yashakuwa mengi.
 
Unamkumbuka profesa aliyekuwa waziri wa elimu, alimwambia Mchina, "I will put you in..." akimaanisha atamsweka rumande! 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…