Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville


"Lich out to her, ligional dilector, conglatulations, Tanzania is ploud of you, on behalf of my plesident, hounolable😎"

Amesikika Waziri mpya wa Afya akiwa Congo Brazaville akisoma hotuba aliyoandikiwa.

Sielewi akiwa kwenye one on one discussion kwa English atafanyaje.

Ni bora awe anaongea Kiswahili tu, japo hata kwa Kiswahili usipotofutisha "l" na "r" UNABOWA sana wasikilizaji

 
Mtoa mada kama kweli ulienda shule na ukafundishwa vizuri sarufi na kuelewa huwezi kuja kuanzisha hapa mada ya Aina hii na kuanza kujadili tuache unafiki,matamshi ya l na r hayo ni Matokeo ya lugha mama ya mhusika tukichunguza ya kwako huenda yakawa Makubwa zaidi ya hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…