Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
🤣👍Alikuwa ni Philip Mlugo, Naibu Waziri wa elimu wakati huo!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣👍Alikuwa ni Philip Mlugo, Naibu Waziri wa elimu wakati huo!.
Umenenahuku investment kubwa ni UCHAWA
Shekhe wallah wanitafutia ubaya mie 😀UNGEMTAJA KABISAAAAA INGEPENDEZA SANA YULE ZE ZE ZE ZE
😄😄😄😄😄😄Muacheni dada jeni jamani🤣🤣
Watajua wenyewe hayanihusuHuyu ni wa ...Utamaduni na Michezo huko.
Aliyekwambia wanaojua Kiingereza hawalambi asali nani!?
Rudi shule.Matumizi ya r na L yanasumbua wtz wengi.Mimi mwenyewe binafsi huwa yananichanganya.wajuvi wa kiswahili tufafanulieni matumizi ya r na L.
Mwalimu wako wa kiswahili akiona hii comment yako atasikitika sanaMatumizi ya r na L yanasumbua wtz wengi.Mimi mwenyewe binafsi huwa yananichanganya.wajuvi wa kiswahili tufafanulieni matumizi ya r na L.