Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Ila wewe! Umeitafuta wee hadi umeipata!

Ila baye mheshimiwa sijui alikuwa anawaza nini? Kwamba Zimbabwe siyo sovereign state?😃

Halafu na matamshi nayo yamekaa "kikwetukwetu"
1. I wirr exprain
2. Emproyment
3. Gentromen
4. "Elia"
5. Congo DIALASII
6. Majority of Tanzanian
7. Jentromen
8. "Koreges"
N.k.
 
Imenibidi maana kuna akina tomaso humu wamesema mimi mzushi
 
Inawezekana aliyemwandalia hotuba hii ana lake jambo, lakini Maprofesa wote wa Muhimbili na hata wanachuo wao ambao ni vipanga yaani wote wameshindwa hata kwa pamoja kumsaidia waziri wao asiadhirike jamaniii?
 

Attachments

  • IMG-20240924-WA0033.jpg
    101.2 KB · Views: 4
🤣🤣🤣🤣
 
"lejono dailekta"

am ovawamdi

ze plezident.
 
Hapo alipo baada kumuhurumia maana anatoka jasho hadi kwenye K
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…