Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Wangeongea kiswahili tuNdiyo maana JPM alikuwa anakipiga vita hicho Kiingereza
Hivi hakukuwa na option ya kuongea Kiswahili na hizo device zikatafsiri?
Nimeona Wachina wanawasilisha taarifa zao Kwa kutumia Kichainizi
KabisaWangeongea kiswahili tu
Lugha adhimu ya Kiswahili ππWangeongea kiswahili tu
Hilo guluguja haliwezi kitu. Mind you, karibu mawaziri wote wako hivyo. Na anayewateua pia.Imagine lidude kama hilo ulipeleke kwenye mikutano ya mawaziri wa afya wa dunia nzima litazungumzia nini hilo funza.
πππkabakisha uchaWi na uchaWA
NakaziaLugha adhimu ya Kiswahili ππ
ShidaKazi kwelikweli
Ha Haa HaaDesa la ualimu wa kiswahili korogwe TTC kipindi cha principal Mgoma.
πππππππhapo anasoma je,angekuwa anatoa kichwani si angejinyea?
watanzania ngeli hatujui.
Si aliandikiwa ππUkisema "on my own behalf" unataka kumaanisha nini?? Huwa sielewi kitu kwa kweli
Chawa-cracy academic qualifications!!To her defense, anaeleweka hiyo ni accent tu ambayo kila mtu anayo hata mizungu ikiongea Kiswahili itaongea kwa lafudhi yao. Mawaziri wa afya nchi zingine zote ni madaktari ila huyu elimu yake ya kuunga unga tu ila kila siku anapewa wizara mpya sijui anafanya nini ambacho wengine hawawezi.
View attachment 3081568View attachment 3081569
View attachment 3081570
Uzi ufungwee!!kabakisha uchaWi na uchaWA
Wakoloni ni noma sana ....watu hawajielewi kabisa ....!!!hapo anasoma je,angekuwa anatoa kichwani si angejinyea?
watanzania ngeli hatujui.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tukumbushie na ile ya South Africa ya kwamba "Tanzania is union of Zimbabwe and Mafia" oh!! No, sorry!! It is Zambia and Pemba