Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Kuna msomi aliyesoma kwa Kimatumbi? Haiwezekani ukasoma hadi masters degree kisha usijue Kiingereza ilhali tangu kidato cha kwanza unaitumia lugha hiyo.
😁
Hizi ndizo tunasema akili za kitumwa. Nenda Urusi kama utafundishwa kwa Kiingereza. Madaktari wazuri hapa TZ ni wale wamesoma Udaktari wao huko Urusi na walitumia Kirusi.
 
Hizi ndizo tunasema akili za kitumwa. Nenda Urusi kama utafundishwa kwa Kiingereza. Madaktari wazuri hapa TZ ni wale wamesoma Udaktari wao huko Urusi na walitumia Kirusi.
Inawezekanaje yeye ni msomi na amesoma kwa kingereza tangu form 1 anaongeaje hivyo?? Hawa ndo wale wa kukremisha...Urusi watu wanatumia lugha ya kirusi tangu vidudu mpaka chuo kikuu
 
Inawezekanaje yeye ni msomi na amesoma kwa kingereza tangu form 1 anaongeaje hivyo?? Hawa ndo wale wa kukremisha...Urusi watu wanatumia lugha ya kirusi tangu vidudu mpaka chuo kikuu
Lugha ya Kiingereza hakufanyi wewe kuwa na maarifa zaidi.
 
Tusisahau Mama Asha Rose Migiro alikuwepo pale UN, Prof kutoka kashai Mama Tibaijuka alikaa pale UN habitat kama sijakosea, Hivi watanzania walinufaika na nini?, tunafikiri Dr Ndugulile kuwepo hapo atatusaidia nini?

Hajawekwa hapo kuisaidia TZ pekee kawekwa kuiongoza Africa nzima.
 
Intro kama hiyo angeimeza tu ,kulikuwa hakuna haja ya makaratasi.

Ila Kinge ni noma sana aisee ,ukimuona akitema kiswahili yaani anatirika hatari lakini ikija Kinge utamuonea huruma michapio kama yote wakayti anasoma on behalf of ma self ,tsenki you vere mache mr chea and all contestants who contested.
Kila mtu ni mahiri katika lugha yake mwenyewe, mbona wamagharibi wànashindwa kuongea lugha zetu hatuwacheki? Je, Waingereza wasomi wote wanajua kuongea kifaransa kwa usahihi?

Lugha ya kiingereza tusiitumie kama kipimo cha ufahamu wa mtu
 
Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.

Jionee....
Sidhani!
 
Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.

Jionee....
Nilimsikiliza siku moja akimwuliza swali mmojawapo wa wagombea wa ubunge wa Afrika ya Mashariki miaka kadhaa iliyopita nikajua kuwa kiingereza ni lugha yake ya nne au ya tano hivi. Lakini sasa leo yeye niwaziri, utamfanya nini sasa na kiingereza chake hicho.
 
Tatizo lenu ni slavery mentality imewakaa vichwani mwenu. Mnafikiri mtu akiongea kiingereza ndio msomi.
Kaka nadhani umekosea kidogo. Kwangu mimi hakuna anayemcheka huyu mama kwa kuongea kiingereza kibovu. Mimi naona ni uwasilishaji wa mada. Angeweza hata akamwambia Waziri wa foreign akawasilisha taarifa. Hata angetumia kiswahili. It would have been very ok. Tz ingeweza ikalipa mkalimani. After all kiswahili ni lugha ya AU. Ingawa WHO ni UN but ingewezekana.

Kwangu mimi dada Jenista hakujipanga.
 
Back
Top Bottom