Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila uchawi hawawezi toboa🤣🤣🤣 halafu sijui kwann wanasiasa wanapenda uchawi?
😂😂😂😂 khaaa!!Imagine lidude kama hilo ulipeleke kwenye mikutano ya mawaziri wa afya wa dunia nzima litazungumzia nini hilo funza.
Wewe siyo mzima.Hizi ndizo tunasema akili za kitumwa. Nenda Urusi kama utafundishwa kwa Kiingereza. Madaktari wazuri hapa TZ ni wale wamesoma Udaktari wao huko Urusi na walitumia Kirusi.
Sijamdharau ila muda wooote na Hela zoote kashindwa hata kuji update na lugha kidogo...Hawa ndio wanasaini mikataba mikubwa mikubwa ujue, usimdharau.
Ungekuwa unajificha chooni 🤣🤣😳🫢😅 ananikumbush kipind naskuli kwny presentation co pow Yan ni Bora nkachimbe shimo au kung'oa visiki
Itakuwa Teofilo kisanji 😹Hiyo Cambridge International College ni vile ''vyuo vyetu'' nini?
Ni aibu hii, niliwahi kusema hapa waziri wa wizara husika wawe na fani ya wizara husika na uzeofu wazira husika, mfano ona wenzetu ni medicine and dr tena phds and masters mpaka bachelors.To her defense, anaeleweka hiyo ni accent tu ambayo kila mtu anayo hata mizungu ikiongea Kiswahili itaongea kwa lafudhi yao. Mawaziri wa afya nchi zingine zote ni madaktari ila huyu elimu yake ya kuunga unga tu ila kila siku anapewa wizara mpya sijui anafanya nini ambacho wengine hawawezi.
View attachment 3081568View attachment 3081569
View attachment 3081570
Quality of education iko low, ndio maana wakienda unga wa kimataifa wanajikuta wako chini, outperformed kabisa. Maana wenzetu wako juu kielimu.Kwani hupendi amtaje ''pilesindent Samia''? On serious note: Hii hotuba inaonyesha viongozi wetu walivyo na vichwa hewa. Ni translation ya kutoka kwenye maudhui ya kiswahi-CCM pamoja na vimelea vya ucahwa kwenda lugha ya english. Tanzania tupo nyuma sana kwa kiingereza na mbaya zaidi siyo ufasihi wa lugha tu bali ni quality ya mtu anachozungumza.
Unapewa nafasi ya uwaziri ikiwa huna vigezo, huwa napingana Sana watu kutetea kuwa uwaziri sio lazima uwe umesoma lakini kuna tofauti kubwa Sana kupewa nafasi ukiwa na vigezo vinavyohitajika...tunabebana mwishowe huduma nyingi hazina mwelekeo sababu huwa ndo hizi za Akina Jenny Mahogany.Tanzania tamu aiseee
And again on behalf................. 😄😂
You mean Sylvester Kabusi Mgoma?Desa la ualimu wa kiswahili korogwe TTC kipindi cha principal Mgoma.
Umeshawahi kumsika mbowe akiwa nje ya nchi akiongea? Umeshamsikia lissu akiongea huko nje?Hicho cha Lissu na Mbowe kikoje? Ni kile cha mother dead, father dead , now job au ?
Kwenye wizara Kuna watendaji akiwemo katibu mkuu.Sijamdharau ila muda wooote na Hela zoote kashindwa hata kuji update na lugha kidogo...
Kama anashindwa kusoma hivyo ataelewa Nini kwenye mikataba hiyo mikubwa may be on her own behalf, Jaji nawaza tu Kwa sauti 😊
My daily bread is....is...Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee..
View attachment 3081554