Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Kaka nadhani umekosea kidogo. Kwangu mimi hakuna anayemcheka huyu mama kwa kuongea kiingereza kibovu. Mimi naona ni uwasilishaji wa mada. Angeweza hata akamwambia Waziri wa foreign akawasilisha taarifa. Hata angetumia kiswahili. It would have been very ok. Tz ingeweza ikalipa mkalimani. After all kiswahili ni lugha ya AU. Ingawa WHO ni UN but ingewezekana.

Kwangu mimi dada Jenista hakujipanga.
Hii ndo hali halisi ya wapumbavu tulionao.... hao wamekimbilia kujadili kiingereza na naamini hyo hotuba hawajaisikiliza hata!!

Hivi waziri wa Afya unaweza kutoa presentation mbovu hivi? Achilia mbali lugha mbovu hiyo content yake sasa!!

Huyo UCD ndo miongoni mwa kima walioko kwenye corridors of power... amekazania sana ooh English sio lugha yetu utafikiri mkataba wa DP world umeandikwa kiswahili. 🤣
 
Nilimsikiliza siku moja akimwuliza swali mmojawapo wa wagombea wa ubunge wa Afrika ya Mashariki miaka kadhaa iliyopita nikajua kuwa kiingereza ni lugha yake ya nne au ya tano hivi. Lakini sasa leo yeye niwaziri, utamfanya nini sasa na kiingereza chake hicho.
Tukiacha kingereza.... hiyo hotuba kwa mpangilio na content ni ya daraja la waziri kweli?
 
Hii ndo hali halisi ya wapumbavu tulionao.... hao wamekimbilia kujadili kiingereza na naamini hyo hotuba hawajaisikiliza hata!!

Hivi waziri wa Afya unaweza kutoa presentation mbovu hivi? Achilia mbali lugha mbovu hiyo content yake sasa!!

Huyo UCD ndo miongoni mwa kima walioko kwenye corridors of power... amekazania sana ooh English sio lugha yetu utafikiri mkataba wa DP world umeandikwa kiswahili. [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
To her defense, anaeleweka hiyo ni accent tu ambayo kila mtu anayo hata mizungu ikiongea Kiswahili itaongea kwa lafudhi yao. Mawaziri wa afya nchi zingine zote ni madaktari ila huyu elimu yake ya kuunga unga tu ila kila siku anapewa wizara mpya sijui anafanya nini ambacho wengine hawawezi.


View attachment 3081568View attachment 3081569

View attachment 3081570
😂😂😂 Huu ni ukatili unaoufanya😂 nimerudi kuangalia avator yako naona kama unamuuliza Should I call you minister of health😂😂😂
 
Sina ugeni na huyu mama, ukimuona kanisani pale matogoro, anakaa seat ya mbelee utasema ni malaikaa, kumbe ni shetanii mkubwaaa.

Linakazi ya kuua ndugu zake ili liwepo madarakani, huwezi kulitenganishaa na uchawi, na ulozi, linavyopenda kuwahadaa wazee wamtambikiee.
Linakera na kuboa hili limama, linachefuaa kwani hata kulitazamaa, mxxxiiiiieeeew zake.
Inaelekea,unampata vizuri

Ova
 
Sina ugeni na huyu mama, ukimuona kanisani pale matogoro, anakaa seat ya mbelee utasema ni malaikaa, kumbe ni shetanii mkubwaaa.

Linakazi ya kuua ndugu zake ili liwepo madarakani, huwezi kulitenganishaa na uchawi, na ulozi, linavyopenda kuwahadaa wazee wamtambikiee.
Linakera na kuboa hili limama, linachefuaa kwani hata kulitazamaa, mxxxiiiiieeeew zake.
🤣🤣🤣 halafu sijui kwann wanasiasa wanapenda uchawi?
 
Back
Top Bottom