Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Unaiita lugha ya watu ilhali kikatiba inatambulika kama lugha rasmi katika nchi yako.

😁
Unamaanisha nini "Lugha Rasmi"? Kwa Tanzania lugha Rasmi ya kwanza ni Kiswahili. Ya pili ni Kiingereza. Kwa akili yako "kubwa" unatakiwa kujivunia lugha Gani hapo?
 
Kwani hupendi amtaje ''pilesindent Samia''? On serious note: Hii hotuba inaonyesha viongozi wetu walivyo na vichwa hewa. Ni translation ya kutoka kwenye maudhui ya kiswahi-CCM pamoja na vimelea vya ucahwa kwenda lugha ya english. Tanzania tupo nyuma sana kwa kiingereza na mbaya zaidi siyo ufasihi wa lugha tu bali ni quality ya mtu anachozungumza.
Kwani hata angeongea Kiswahili unafikiri angejieleza vizuri zaidi ya hivyo?
 
kiufupi ni nongwa tu za waja,

Lakini kiujumla waziri amezungumza vizuri sana kiingereza na mpaka delegates wote waliokuwamo ndani ya ukumbi wa uchaguzi wakapiga makofi kumaanisha wamelewa vizuri alichokua akizungumza waziri,

actually,
alipaswa kutumia kiswahili, jambo ambalo bilashaka angelikua shujaa zaidi hivi sasa kitu ambacho binafsi naona ndicho muhimu Zaidi angefanya..

hata hivyo,
amezungumza kiingereza kizuri zaidi ya Miguel Gamondi wa yanga ambae anachapia mbaya sana na hakuna mtu anashangaa wala kucheka 🐒
 
Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.

Jionee..

View attachment 3081554
Aibu gani hizi jamani? Kiongozi mkubwa kama Jenista anashindwa hadi na sisi form four failure?

Hiyo hotuba kwanini asingeomba tu aandikiwe? Kutamka kumshinde na hata vya kusoma asome utopolo?

Ila mama huwa namkubali sana, yeye kwenye hiyo lugha ameenyooka 100% Sipati picha kajisikiaje aibu kwa mteule wake!
 
kiufupi ni nongwa tu za waja,

Lakini kiujumla waziri amezungumza vizuri sana kiingereza na mpaka delegates wote waliokuwamo ndani ya ukumbi wa uchaguzi wakapiga makofi kumaanisha wamelewa vizuri alichokua akizungumza waziri,

actually,
alipaswa kutumia kiswahili, jambo ambalo bilashaka angelikua shujaa zaidi hivi sasa kitu ambacho binafsi naona ndicho muhimu Zaidi angefanya..

hata hivyo,
amezungumza kiingereza kizuri zaidi ya Miguel Gamondi wa yanga ambae anachapia mbaya sana na hakuna mtu anashangaa wala kucheka 🐒
Mkuu, Gamondi anaongea English nzuri sana, labda unaleta utani kwenye bandiko lako
 
Mwal wa Kingereza ! Jenista Mhagama wampe wizara ya machawa. Elimu ya kukariri basi tunataka watu watendaji

1724875207920.png
 

Attachments

  • 622941c1-1fe8-4230-82c1-bf9a56cccf1c.jpeg
    622941c1-1fe8-4230-82c1-bf9a56cccf1c.jpeg
    101.8 KB · Views: 2
Mmmhhh !!! Mmmmhh!!! Mmhhhh mmh!!! aibu nimeona mimi ,, afu hawa kutwa nzima ndiyo wanapinga kiiingereza mashuleni
 
Back
Top Bottom