Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee..
View attachment 3081554
Watanzania ndio maana mnabaki kuwa masikini mNafocus na upuuzi. What is English by the way ? Wachina wanakuja Tanzania kuwaibia mahela yenu, Hawajui English wala swahili. Nyie pride yenu ni English . Tanzania ni taifa la laana na kwa hakika JAHANAM inaanzia Tanzania. Sijawah ona taifa la hovyo na masikini wa akili hadi hela kama TZ
Na nyie mawqziri acheni ujinga, kwani ni lazima kusoma kwa English, dunia ya technology kama sasa Tumia lugha yako , wao watasikia kwa lugha zao
.China anaenda ulaya na anaongea kichina tu and they deliver , Mimi kwanza sielewi why tutumie English kwenye meeting kama hizo ? Tukuze swahili
Makamba anajua snaa English but ni mtendaji wa hovyo na mla rushwa, fisadi. Lugha sio ishara YA utendaji bora, ndio mana wachina wanakuja kuwaibia TZ maana hamna akili. Hata Faustine , Hana communication skills nzuri , hawezi kuongea kwa utulivu na ku relax , kwenye speech yake ya kujinadi, unaona kabisa anafokea watu badala ya kuongea and make listening enjoyable, hakuwa na tone nzuri sema kampeni zimembeba , na wala kuongea kwake sio ishara utendaji wake .
Waziri anaejua kuongea and very relaxing ni makamba
All in all tuache ushamba wa lugha, mbona mzungu akiongea broken swahili hatucheki?
Cha msingi kila mtu aongee lugha mama , swahili is strong language , huNA haja na kujichosha na ngeli…. Inasaidia nini ?
Rest easy JPM
Black is a symbol of mental slavery , shame
Being black is a curse