Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Kwa hiyo mkuu, uwajibikaji wa viongozi sio tatizo, wizi na rushwa sio tatizo, elimu na kodi sio tatizo, ukosefu wa ajira umesababishwa na kutumia Kiingereza? Umaskini na mengine yote ni kwa sababu ya Kiingereza? Je, tukitumia Kirusi au Kichina ndio tutaendelea?
Umasikini unao wewe usitujumuishe wote. Sisi wengine siyo masikini, tunaardhi yakutosha, nyumba na kunapata milo mitatu kwa siku unawezaje kutuita masikini. Tena ukome kabisa kama umasikini ni wako.
 
Unamaanisha nini "Lugha Rasmi"? Kwa Tanzania lugha Rasmi ya kwanza ni Kiswahili. Ya pili ni Kiingereza. Kwa akili yako "kubwa" unatakiwa kujivunia lugha Gani hapo?
Ukiwa na watoto wawili, wangapi wanatambulika, ni yupi unayepaswa kujivunia? Kama zote ni lugha rasmi, na Kiingereza ni "official language", shida iko wapi?
 
Nauliza tu,kwa sauti kuna ubaya wowote angeongea kiswahili...maana naona kuna wanaotranslati kwa lugha zao ndo maana wana headphone.vitu vingine nikujifedheesha tu.pigaa kiswahili
 
Kwa niaba yangu
Mtu anayesema "kwa niaba yangu" anakosea sana.
Anatakiwa kusema "Mimi mwenyewe" maana ukisema kwa niaba ya fulani maana yake unamsemea au unamfanyia jambo mtu ambaye hayupo kwenye hiyo hadhara hivyo unamwakilisha.
 
Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.

Jionee..

View attachment 3081554
Watanzania ndio maana mnabaki kuwa masikini mNafocus na upuuzi. What is English by the way ? Wachina wanakuja Tanzania kuwaibia mahela yenu, Hawajui English wala swahili. Nyie pride yenu ni English . Tanzania ni taifa la laana na kwa hakika JAHANAM inaanzia Tanzania. Sijawah ona taifa la hovyo na masikini wa akili hadi hela kama TZ

Na nyie mawqziri acheni ujinga, kwani ni lazima kusoma kwa English, dunia ya technology kama sasa Tumia lugha yako , wao watasikia kwa lugha zao

.China anaenda ulaya na anaongea kichina tu and they deliver , Mimi kwanza sielewi why tutumie English kwenye meeting kama hizo ? Tukuze swahili

Makamba anajua snaa English but ni mtendaji wa hovyo na mla rushwa, fisadi. Lugha sio ishara YA utendaji bora, ndio mana wachina wanakuja kuwaibia TZ maana hamna akili. Hata Faustine , Hana communication skills nzuri , hawezi kuongea kwa utulivu na ku relax , kwenye speech yake ya kujinadi, unaona kabisa anafokea watu badala ya kuongea and make listening enjoyable, hakuwa na tone nzuri sema kampeni zimembeba , na wala kuongea kwake sio ishara utendaji wake .

Waziri anaejua kuongea and very relaxing ni makamba

All in all tuache ushamba wa lugha, mbona mzungu akiongea broken swahili hatucheki?

Cha msingi kila mtu aongee lugha mama , swahili is strong language , huNA haja na kujichosha na ngeli…. Inasaidia nini ?

Rest easy JPM

Black is a symbol of mental slavery , shame

Being black is a curse
 
Tatizo lenu ni slavery mentality imewakaa vichwani mwenu. Mnafikiri mtu akiongea kiingereza ndio msomi.

Ni upuuzi tu kuhalalisha huu ujinga, hawa ndio wanaosign mikataba ya kutuuza! Acha tuwe na slavery mentality kwa akili yako lkn huyu mama hana uwezo wa kusoma document ya page 600 ya mkataba toka Ulaya akawakilisha maslahi ya nchi. Hafai hata kuwa headmaster ya sekondari ya kutwa! Hata debate ya form 2 hawezi kuchangia huyu
 
Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.

Jionee..

View attachment 3081554
Nimeona aibu sana niliposikiliza, niligeuka kila upande nione kama kuna mtu ananiona
 
Ni upuuzi tu kuhalalisha huu ujinga, hawa ndio wanaosign mikataba ya kutuuza! Acha tuwe na slavery mentality kwa akili yako lkn huyu mama hana uwezo wa kusoma document ya page 600 ya mkataba toka Ulaya akawakilisha maslahi ya nchi. Hafai hata kuwa headmaster ya sekondari ya kutwa! Hata debate ya form 2 hawezi kuchangia huyu
Tunaongozwa na villazza sana
 
Siku naangalia TBC asubuhi, nakuta baraza jipya LA mawaziri, Eti Jenister kapelekwa Afyaa, nilizima TV kwa muda nikaona haya mazingaombwe.

Kufungua tena eti ni kweli, pale pale nikajisemeaa, Ndumbaa za Parangu za motooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zimeweza hadi kumpumbaza mama wa kizimkaziii, nkasemaa hizi za sasa kibokoo kabisaaa, woiiiiiiiiih

Hili Li jenister, nchii isipokaa vizuri utasikia Waziri mkuu,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mama Samia Amkaa, huyu Jenister anakuchotaaa akilii, usiposhtukaa utajikutaa unampaa vyeo, hata wee mwenyewe hujui unampajee. Lol.
Mama ameidharaulisha hiyo wizara, wizara ya elimu, afya, sheria, fedha huko kumeja maprofesa watupu unampaje mtu wizara ambaye ana vielimu vya hapa na pale, angeenda huko habari na michezo, mazingira nk
 
Hiyo ni slavery mentality tu mkuu. Tembea uone. China, Urusi, Japan, Korea Kaskazini nk. Wanamaendeleo makubwa sana wakati hawatumii Kiingereza. Na kwa taarifa yako nchi ambazo zimejitenga na kiingereza ndio zilizoendelea sana tu lakini nchi zenye kuendekeza utumwa wa akili ndio nchi zilizonyuma kimaendeleo. Mpaka tutakapojitambua ndio tutapata maendeleo ya kweli.
Nani kakudanganya kuwa china haitumii kingereza? Kama wasingekuwa wanatumia kiingereza ingekuwa ngumu sana kuona bidhaa zao madukani, uliwahi kuona bidhaa ya ureno dukani, au bidhaa ya Brazil dukani? Sababu mojawapo ya kutoonekana ni lugha. Mchina kwa kiingereza yuko vizuri asikudanganye mtu na ndio maana dunia nzima inakimbilia huko kufanya biashara.
 
Tatizo lenu ni slavery mentality imewakaa vichwani mwenu. Mnafikiri mtu akiongea kiingereza ndio msomi.
Wacha iwe hivyo lakini huyu waziri ni mbulula hata cv yake inaonyesha ni kiwaki


1724890251528.png
 
kiufupi ni nongwa tu za waja,

Lakini kiujumla waziri amezungumza vizuri sana kiingereza na mpaka delegates wote waliokuwamo ndani ya ukumbi wa uchaguzi wakapiga makofi kumaanisha wamelewa vizuri alichokua akizungumza waziri,

actually,
alipaswa kutumia kiswahili, jambo ambalo bilashaka angelikua shujaa zaidi hivi sasa kitu ambacho binafsi naona ndicho muhimu Zaidi angefanya..

hata hivyo,
amezungumza kiingereza kizuri zaidi ya Miguel Gamondi wa yanga ambae anachapia mbaya sana na hakuna mtu anashangaa wala kucheka 🐒
Jamani kiongozi wa yanga unailinganisha na kiongozi wa wizara ya afya?? angekuwa ni wizara kama michezo au mazingira wala nisingemind
 
Back
Top Bottom