Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hiyo ni slavery mentality tu mkuu. Tembea uone. China, Urusi, Japan, Korea Kaskazini nk. Wanamaendeleo makubwa sana wakati hawatumii Kiingereza. Na kwa taarifa yako nchi ambazo zimejitenga na kiingereza ndio zilizoendelea sana tu lakini nchi zenye kuendekeza utumwa wa akili ndio nchi zilizonyuma kimaendeleo. Mpaka tutakapojitambua ndio tutapata maendeleo ya kweli.
Sisi tuna maendeleo gani maana tunatumia kiswahili zaidi ya 80%
 
Nilimsikiliza siku moja akimwuliza swali mmojawapo wa wagombea wa ubunge wa Afrika ya Mashariki miaka kadhaa iliyopita nikajua kuwa kiingereza ni lugha yake ya nne au ya tano hivi. Lakini sasa leo yeye niwaziri, utamfanya nini sasa na kiingereza chake hicho.
Halafu viongozi wenye uwezo duni wa kiingereza ndio utawakuta wana ntima nyongo ya hatari.
 
Mimi nakakataa kusema kwamba Kiingereza ndio lugha inakufanya uonekane ni msomi na una maarifa zaidi ndio maana nikatoa mifano ya lugha mbalimbali ikiwemo Kirusi, Kichina n.k ambako wanamaendeleo na maarifa zaidi. Nasema slavery mentality kwa mtu anayefikiri Kiingereza ndio lugha inayokufanya uonekane una maarifa zaidi ukitilia maanani sisi tulitawaliwa na Waingereza. Soma bango hapa chini labda utanielewa zaidi.
View attachment 3081720
Hebu niambie, inawezekanaje ukatumia lugha fulani kujifunzia kwa zaidi ya miaka 10 halafu ushindwe kuimudu. Je, uko sawa kichwani?
 
Unamaanisha nini "Lugha Rasmi"? Kwa Tanzania lugha Rasmi ya kwanza ni Kiswahili. Ya pili ni Kiingereza. Kwa akili yako "kubwa" unatakiwa kujivunia lugha Gani hapo?
Nitajie lugha ya tatu ni ipi?
Kama haipo, niambie ni kwa nini ni lugha ya kigeni halafu imepewa hadhi ya 'urasmi' katika nchi yetu.
 
Si mlishabikia na kupiga debe Dkt Ndugulile kwenda WHO as if hatuna shida na watendaji wenye weledi wa kutosha kwa kada husika?

Siasa zinagharimu sana hili taifa.
Sasa kama mamlaka hazijaona kama anaweza kuwa na mchango wake nchini na kumteua, si bora uende tu huko duniani. Ulitaka akae tu asubiri uteuzi ambayo ni uncertain??
 
Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.

Jionee..

Hii hotuba imenikumbusha ile hotuba ya Philip Mulugo aliyoitoa huko bondeni wakati naye alikuwa anasoma aliposema Tanzania is a union between Zanzibar and Zimbabwe.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Tanzania kweli ina maiti tupu
Kipindi cha dhalimu sasa ndio ilikuwa aibu, hadi akijiweka kwenye quaranteen ya kutosafiri kwenda nje kwa kisingizio cha uzalendo🤣🤣
 
To her defense, anaeleweka hiyo ni accent tu ambayo kila mtu anayo hata mizungu ikiongea Kiswahili itaongea kwa lafudhi yao. Mawaziri wa afya nchi zingine zote ni madaktari ila huyu elimu yake ya kuunga unga tu ila kila siku anapewa wizara mpya sijui anafanya nini ambacho wengine hawawezi.


View attachment 3081568View attachment 3081569

View attachment 3081570
Kwa sasa mtu ambaye huna masters, haifai kuonesha CV yako. Na masters iwe kutoka chuo kinachoeleweka. Mambo ya first degree yashapitwa na wakati. Povu ruksa
 
Ndiyo maana JPM alikuwa anakipiga vita hicho Kiingereza

Hivi hakukuwa na option ya kuongea Kiswahili na hizo device zikatafsiri?

Nimeona Wachina wanawasilisha taarifa zao Kwa kutumia Kichainizi
Devices huwa zina interpret lakini yeye amechagua kuandika na kusoma kingereza kibovu kwa sababu ya uchawa na kujipendekeza kwa rais. Hivi hapo kulikuwa na haja gani ya kumtaja rais?
 
Unamaanisha nini "Lugha Rasmi"? Kwa Tanzania lugha Rasmi ya kwanza ni Kiswahili. Ya pili ni Kiingereza. Kwa akili yako "kubwa" unatakiwa kujivunia lugha Gani hapo?
Subiri ili tusipoteane, akitamka neno Rais kwa kiswahili, R yake huwa anaweka L? Kwanini anatamka plesident alipokuwa anasoma kiingereza?
 
Kwani hupendi amtaje ''pilesident Samia''? On serious note: Hii hotuba inaonyesha viongozi wetu walivyo na vichwa hewa. Ni translation ya kutoka kwenye maudhui ya kiswahi-CCM pamoja na vimelea vya uchawa kwenda lugha ya english. Tanzania tupo nyuma sana kwa kiingereza na mbaya zaidi siyo ufasihi wa lugha tu bali ni quality ya mtu anachozungumza.
Aibu kubwa mnooo tena mnooo kwani huyu mama akipewa hata ubalozi hapo Msumbiji kuna shida?kwa nini anapewa wizara nyeti mtu kama huyu??ni kwamba mamlaka haijali afya za watanzania au shida ni nini???!
 
Kila mtu ni mahiri katika lugha yake mwenyewe, mbona wamagharibi wànashindwa kuongea lugha zetu hatuwacheki? Je, Waingereza wasomi wote wanajua kuongea kifaransa kwa usahihi?

Lugha ya kiingereza tusiitumie kama kipimo cha ufahamu wa mtu
Utetezi dhaifu, hao uliowataja wanatumia lugha kwenye mfumo wao wa elimu hasa ya juu? Kumbuka nyaraka nyingi za serekali hasa za mikataba iko kwa kiingereza, na waziri zaidi ya nusu ya majukumu yake yanaingiliana na kiingereza, hapo inakaaje?
 
Utetezi dhaifu, hao uliowataja wanatumia lugha kwenye mfumo wao wa elimu hasa ya juu? Kumbuka nyaraka nyingi za serekali hasa za mikataba iko kwa kiingereza, na waziri zaidi ya nusu ya majukumu yake yanaingiliana na kiingereza, hapo inakaaje?
Ndio mambo ya kiwaki hayo eti usitumie Kingereza kupima ufahamu wa mtu kwa Tanzania kingereza ni kipimo sahihi kabisa cha elimu na uelewa wa mtu huyo mama hastahili kuwa waziri wa afya haya yote ni matokeo ya Siasa majitaka
 
Back
Top Bottom