sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Yes,tungemuona shujaa kabsaa.Na ninadhani hatorudia tena.Nauliza tu,kwa sauti kuna ubaya wowote angeongea kiswahili...maana naona kuna wanaotranslati kwa lugha zao ndo maana wana headphone.vitu vingine nikujifedheesha tu.pigaa kiswahili