Hotuba ya masaa 7 mfululizo ya Luhaga Mpina ina ujumbe gani kwa watanzania?

Hotuba ya masaa 7 mfululizo ya Luhaga Mpina ina ujumbe gani kwa watanzania?

LUHAGA MPINA, Mbunge wa Kisesa ametumia takribani masaa 7 mfululizo kuanzia saa 11 jioni hadi saa 6 na nusu usiku akizungumza na watanzania juu ya matatizo mbalimbali yanayolikabili taifa letu ikiwemo maonevu wanayofanyiwa wachimbaji wadogo wa madini kufukuzwa na maeneo yao kupewa raia wa kichina kinyume na sheria za nchi.

Amezungumzia makato makubwa waliyowekewa wakulima wa mazao kama pamba, choroko, mbaazi na kusababisha kunufaisha walanguzi na wakulima kubaki masikini, Amezungumia suala la viongozi ambao siyo raia wa Tanzania hali inayochangia kushamiri kwa rushwa, wizi, ufisadi wa mali za umma na kuwaonea wananchi wakiamini kuwa hii sio nchi yao na siku yoyote wataondoka kurudi makwao. KWA KIREFU Hotuba ya masaa saba imewafumbua macho watanzania wengi ambao wako gizani wakishabikia mipira ya simba na yanga huku taifa lao likizidi kutafunwa na kikundi cha watu huku watanzania wengi wakilia umasikini wa kutupwa.

Pia nilipomsikiliza anasema hotuba yake hiyo wakati akiiandaa amezingatia pia ushauri uliotolewa na Mzee Warioba, Mzee Butiku, Mbunge Kishimba, Mzee Kasori, Rostam Aziz, Mzee Charles Gishuli, Mzee Christopher Liundi, Padri Kitima na watanzania wengine wa kada mbalimbali.

Swali la muhimu Hotuba ya Masaa 7 ya Luhaga Mpina ina ujumbe gani kwa watanzania?
Mpina ni mental case
 
Huyu mheshimiwa alilifungulia bunge kesi tatu za madai na mbili keshashindwa tayari bado hiyo moja.

Anasumbuliwa na roho ya chuki kwa Samia, aidha kwa kuwa ni mwanamama anayeiongoza TZ baada ya kifo cha JPM au ni kwa sababu ya dini ya kiongozi mkuu kuwa sio sawa na ya kwake, Akili zake ni zile zile za Ndugai spika mstaafu.

Wanasiasa wanaoishi na maumivu ya moyoni, anasema watu wasiokuwa raia wanaifaidi nchi hii, kasahau kuwa sera za SSH ni kuifungua nchi hii ili isiendekeze sera za kujifungia ndani huku tukijisifia kwamba Mungu katupatia kila rasilimali.

Na kusema kwamba wageni wanafaidi ni sehemu tu ya hasira zake za kushindwa hizo kesi kule bungeni, kwa ufupi jamaa ni mkosaji.
 
MPINA Bungeni atarudi Kwa kishindo kikubwa sana.
Labda wamkate kwenye kura za maoni maana ndiyo silaha yao kubwa kuwazibia midomo wasema ukweli. Hili lichama limechakaa sana eti ile nyara toka hifadhi ya Gombe ndiyo Makamu Mwenyekiti Taifa, hovyo kabisa haya majitu.
 
Mpina mwaka wa uchaguzi huu njoo CHADEMA, huko CCM ni lazima ukatwe njoo tukomae no Reforms no election.
 
Duh...!. Ukiona mtu anazungumza zaidi ya 2 hrs, ujue anahitaji msaada wa afya ya akili!, masaa 7!, huyu atakuwa tayari ni.... Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?
P
Mkuu mimi naona wanao msikiliza hapo ndio wenye shida zaidi. Bahati mbaya ndio wengi kwa nyakati hizi na mazingira ya kisiasa.

Mpina hana tofauti na wenzie bungeni ila kwa namna anavyojisogeza kwa wananchi kwa kuwakandie wenzie, anaeleweka zaidi kwa wananchi kuliko mbunge yeyote kwa sasa hivi.
 
Ubunge ni uwakilishi wa wananchi sio matakwa ya mtu wananchi wenyewe ndio wanajua walichomtuma bungeni mwakilishi wao hata kama machawa hawampendi wananchi hao wanamhitaji na ndio mamlaka ya mbunge
Watamkata kura za maoni hatoboi.
 
Huyu mheshimiwa alilifungulia bunge kesi tatu za madai na mbili keshashindwa tayari bado hiyo moja.

Anasumbuliwa na roho ya chuki kwa Samia, aidha kwa kuwa ni mwanamama anayeiongoza TZ baada ya kifo cha JPM au ni kwa sababu ya dini ya kiongozi mkuu kuwa sio sawa na ya kwake, Akili zake ni zile zile za Ndugai spika mstaafu.

Wanasiasa wanaoishi na maumivu ya moyoni, anasema watu wasiokuwa raia wanaifaidi nchi hii, kasahau kuwa sera za SSH ni kuifungua nchi hii ili isiendekeze sera za kujifungia ndani huku tukijisifia kwamba Mungu katupatia kila rasilimali.

Na kusema kwamba wageni wanafaidi ni sehemu tu ya hasira zake za kushindwa hizo kesi kule bungeni, kwa ufupi jamaa ni mkosaji.
Niko kinyume na maoni yako mkuu. Je yule shehe aliyewahi kusema Quran inakataza nchi kuongozwa na mwanamke ulicomment chochote? Wapi Mpina kataja dini ya mtu ? Tunaridhika na tunanufaika vipi kwa kuwafukuza raia wetu kwenye makazi na ardhi yao na kuwapa wageni ? Unaijua sera ya uwekezaji ya nchi za uarabuni na China ? Je unafanamu kuwa uarabuni huwezi hata Kufungua kibanda cha biashara kama hujashirikiana na raia wa nchi yao ? Je unajua kuwa uarabuni ziko degree huwezi kusoma hata kama umezaliwa kwao na baba aliye raia wa nchi ya kigeni.
 
LUHAGA MPINA, Mbunge wa Kisesa ametumia takribani masaa 7 mfululizo kuanzia saa 11 jioni hadi saa 6 na nusu usiku akizungumza na watanzania juu ya matatizo mbalimbali yanayolikabili taifa letu ikiwemo maonevu wanayofanyiwa wachimbaji wadogo wa madini kufukuzwa na maeneo yao kupewa raia wa kichina kinyume na sheria za nchi.

Amezungumzia makato makubwa waliyowekewa wakulima wa mazao kama pamba, choroko, mbaazi na kusababisha kunufaisha walanguzi na wakulima kubaki masikini, Amezungumia suala la viongozi ambao siyo raia wa Tanzania hali inayochangia kushamiri kwa rushwa, wizi, ufisadi wa mali za umma na kuwaonea wananchi wakiamini kuwa hii sio nchi yao na siku yoyote wataondoka kurudi makwao. KWA KIREFU Hotuba ya masaa saba imewafumbua macho watanzania wengi ambao wako gizani wakishabikia mipira ya simba na yanga huku taifa lao likizidi kutafunwa na kikundi cha watu huku watanzania wengi wakilia umasikini wa kutupwa.

Pia nilipomsikiliza anasema hotuba yake hiyo wakati akiiandaa amezingatia pia ushauri uliotolewa na Mzee Warioba, Mzee Butiku, Mbunge Kishimba, Mzee Kasori, Rostam Aziz, Mzee Charles Gishuli, Mzee Christopher Liundi, Padri Kitima na watanzania wengine wa kada mbalimbali.

Swali la muhimu Hotuba ya Masaa 7 ya Luhaga Mpina ina ujumbe gani kwa watanzania?
Ulitaka iwe ya muda gani,

Maoni ya msingi ni kuhusu jamii mfu ama iliyo nyamaza hata kunyamzishwa,(silent society), remember that silence surrenders public responsibilities

Ukimya ni kusalimu amri kuhusu majukumu yako katika kijamii kwa kukaa kimyaa anaye athirika ni jamii husika
Swali je jamii Itaendelea kunyamaza ama kunyamzishwa kwa muda gani

Sheria zetu zikoje kuhusu maswala ya kijamii, je tuendelee kukaa kimya kuhusu maswala msingi yaliyoko kwenye jamii zetu za kiafrika? Hata kama mambo yanaenda Ndivyo sivyo kwenye jamii zetu
 
LUHAGA MPINA, Mbunge wa Kisesa ametumia takribani masaa 7 mfululizo kuanzia saa 11 jioni hadi saa 6 na nusu usiku akizungumza na watanzania juu ya matatizo mbalimbali yanayolikabili taifa letu ikiwemo maonevu wanayofanyiwa wachimbaji wadogo wa madini kufukuzwa na maeneo yao kupewa raia wa kichina kinyume na sheria za nchi.

Amezungumzia makato makubwa waliyowekewa wakulima wa mazao kama pamba, choroko, mbaazi na kusababisha kunufaisha walanguzi na wakulima kubaki masikini, Amezungumia suala la viongozi ambao siyo raia wa Tanzania hali inayochangia kushamiri kwa rushwa, wizi, ufisadi wa mali za umma na kuwaonea wananchi wakiamini kuwa hii sio nchi yao na siku yoyote wataondoka kurudi makwao. KWA KIREFU Hotuba ya masaa saba imewafumbua macho watanzania wengi ambao wako gizani wakishabikia mipira ya simba na yanga huku taifa lao likizidi kutafunwa na kikundi cha watu huku watanzania wengi wakilia umasikini wa kutupwa.

Pia nilipomsikiliza anasema hotuba yake hiyo wakati akiiandaa amezingatia pia ushauri uliotolewa na Mzee Warioba, Mzee Butiku, Mbunge Kishimba, Mzee Kasori, Rostam Aziz, Mzee Charles Gishuli, Mzee Christopher Liundi, Padri Kitima na watanzania wengine wa kada mbalimbali.

Swali la muhimu Hotuba ya Masaa 7 ya Luhaga Mpina ina ujumbe gani kwa watanzania?
nilisikilza mwanzo mwisho nimelia kwa uchungu sana hiyo speech inabidi ifike vyuo vikuu vyote ikafanyiwe uchambuzi wasomi waone namna nchi yao inavyoliwa
 
Niko kinyume na maoni yako mkuu. Je yule shehe aliyewahi kusema Quran inakataza nchi kuongozwa na mwanamke ulicomment chochote? Wapi Mpina kataja dini ya mtu ? Tunaridhika na tunanufaika vipi kwa kuwafukuza raia wetu kwenye makazi na ardhi yao na kuwapa wageni ? Unaijua sera ya uwekezaji ya nchi za uarabuni na China ? Je unafanamu kuwa uarabuni huwezi hata Kufungua kibanda cha biashara kama hujashirikiana na raia wa nchi yao ? Je unajua kuwa uarabuni ziko degree huwezi kusoma hata kama umezaliwa kwao na baba aliye raia wa nchi ya kigeni.
Magufuli angemteua mgombea mwenza mwanaume leo hii tusingekuwa na Rais Samia pale ikulu.

Naona na wewe ni wale wale wenye kasumba nyingi vichwani juu ya mwanamke kuongoza nchi, Ujerumani ilikuwa na kansela mwanamama kwa miaka 15 unajua ni maendeleo makubwa kiasi gani aliyafanikisha katika kipindi hicho?.

Shekhe au Padre haina maana maneno yake ni sheria yenye kutakiwa kukaa vichwani mwetu, hao ni binadamu wenye kufanya shughuli za kiroho haina maana eti tayari wameshakuwa kwenye kundi la watakatifu.

China na Uarabuni wameshatuzidi sana, wameshavuka hatua ya uchumi wa kati muda mrefu uliopita, wakati sisi ndio kwanza tunautafuta uchumi huo. Mahitaji yetu ya kitaifa ni tofauti.

Huyo Mpina dishi limeyumba, ukiona mtu anaishi na machungu yasiyokwisha kichwani mwake ujue huyo ana matatizo kwenye suala zima la afya ya akili.
 
Pia nilipomsikiliza anasema hotuba yake hiyo wakati akiiandaa amezingatia pia ushauri uliotolewa na Mzee Warioba, Mzee Butiku, Mbunge Kishimba, Mzee Kasori, Rostam Aziz, Mzee Charles Gishuli, Mzee Christopher Liundi, Padri Kitima na watanzania wengine wa kada mbalimbali.

Swali la muhimu Hotuba ya Masaa 7 ya Luhaga Mpina ina ujumbe gani kwa watanzania?
Kuna chungu kimekaa juu ya mafiga mawili bila ya kuzingatia mambo ya expansion na contraction, by the way hao consultants wake ni watu makini ila unapoingiza rost tamu kwenye mazungumzo nyeti kama hayo ni kuingiza msiooga ambalo ni chanzo kikubwa cha matatizo ya nchi hii
 
LUHAGA MPINA, Mbunge wa Kisesa ametumia takribani masaa 7 mfululizo kuanzia saa 11 jioni hadi saa 6 na nusu usiku akizungumza na watanzania juu ya matatizo mbalimbali yanayolikabili taifa letu ikiwemo maonevu wanayofanyiwa wachimbaji wadogo wa madini kufukuzwa na maeneo yao kupewa raia wa kichina kinyume na sheria za nchi.

Amezungumzia makato makubwa waliyowekewa wakulima wa mazao kama pamba, choroko, mbaazi na kusababisha kunufaisha walanguzi na wakulima kubaki masikini, Amezungumia suala la viongozi ambao siyo raia wa Tanzania hali inayochangia kushamiri kwa rushwa, wizi, ufisadi wa mali za umma na kuwaonea wananchi wakiamini kuwa hii sio nchi yao na siku yoyote wataondoka kurudi makwao. KWA KIREFU Hotuba ya masaa saba imewafumbua macho watanzania wengi ambao wako gizani wakishabikia mipira ya simba na yanga huku taifa lao likizidi kutafunwa na kikundi cha watu huku watanzania wengi wakilia umasikini wa kutupwa.

Pia nilipomsikiliza anasema hotuba yake hiyo wakati akiiandaa amezingatia pia ushauri uliotolewa na Mzee Warioba, Mzee Butiku, Mbunge Kishimba, Mzee Kasori, Rostam Aziz, Mzee Charles Gishuli, Mzee Christopher Liundi, Padri Kitima na watanzania wengine wa kada mbalimbali.

Swali la muhimu Hotuba ya Masaa 7 ya Luhaga Mpina ina ujumbe gani kwa watanzania?
Hotuba gani masaa 7???
Think
 
LUHAGA MPINA, Mbunge wa Kisesa ametumia takribani masaa 7 mfululizo kuanzia saa 11 jioni hadi saa 6 na nusu usiku akizungumza na watanzania juu ya matatizo mbalimbali yanayolikabili taifa letu ikiwemo maonevu wanayofanyiwa wachimbaji wadogo wa madini kufukuzwa na maeneo yao kupewa raia wa kichina kinyume na sheria za nchi.

Amezungumzia makato makubwa waliyowekewa wakulima wa mazao kama pamba, choroko, mbaazi na kusababisha kunufaisha walanguzi na wakulima kubaki masikini, Amezungumia suala la viongozi ambao siyo raia wa Tanzania hali inayochangia kushamiri kwa rushwa, wizi, ufisadi wa mali za umma na kuwaonea wananchi wakiamini kuwa hii sio nchi yao na siku yoyote wataondoka kurudi makwao. KWA KIREFU Hotuba ya masaa saba imewafumbua macho watanzania wengi ambao wako gizani wakishabikia mipira ya simba na yanga huku taifa lao likizidi kutafunwa na kikundi cha watu huku watanzania wengi wakilia umasikini wa kutupwa.

Pia nilipomsikiliza anasema hotuba yake hiyo wakati akiiandaa amezingatia pia ushauri uliotolewa na Mzee Warioba, Mzee Butiku, Mbunge Kishimba, Mzee Kasori, Rostam Aziz, Mzee Charles Gishuli, Mzee Christopher Liundi, Padri Kitima na watanzania wengine wa kada mbalimbali.

Swali la muhimu Hotuba ya Masaa 7 ya Luhaga Mpina ina ujumbe gani kwa watanzania?
Tunaomba link
 
Back
Top Bottom