Hotuba ya masaa 7 mfululizo ya Luhaga Mpina ina ujumbe gani kwa watanzania?

Wewe ndiyo umeisikiliza, badala ya kuweka summary ya ulichosikia unauliza maswali. So frfr you're expecting answers kutoka kwa ambao hawajasikia chochote, strange world.
 
Wewe ndiyo umeisikiliza, badala ya kuweka summary ya ulichosikia unauliza maswali. So frfr you're expecting answers kutoka kwa ambao hawajasikia chochote, strange world.
mbona makasiriko hotuba ya masaa 7 unawezaje kuweka summary
 
CCM watakuwa wanajuta tu kumfahamu huyu jamaa. Tangu Magufuli alipofariki, hajawahi kuwapa muda wa kupumzika. Yaani ni mwendo tu wa kuwacharaza bakora CCM wenzake.
Tangu aondolewe kwenye u-Waziri na mama imekuwa taabu mno. Wanasiasa wa Tz ni kichefuchefu sana. Mbona wakati wa utawala wa mwendazake hatukuwai kumsikia au alipokuwa bado waziri undet SSH regime??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…