Hotuba ya Mbowe imedhihirisha wazi kuwa hakuna tofauti ya wafuasi wa Magufuli na Mbowe

Huyu amejiondoa ufahamu tangu Mama aingie,na kuna kitu kinamsukuma kuwa hivyo imani yake.
 
ndo utulize kipele sasa na muendelee na msimamo wenu ivo ivo msishiriki uchaguzi wowote
Wewe nani ndani ya nchi hii?
Nyie mambo yenu yashaisha tangu mwezi wa tatu.

Kaeni kimya watu waongoze nchi ili nanyi mjifunze.

Zamu yenu ishapita hiyo na hairudi kamwe maana makosa hayawezi kurudiwa kamwe.
 
Kwa ujinga wako na tamaa ya ubwabwa nadhani ungempigia tu lungwe bila kujua
Maana nyi watoto wa kitaa kula wali ni shida
Kudadadeeeeki kweli mataga mmevurugwa baada ya kuondokewa na mfadhili wenu.

Sasa mmeanza kutwangana spana wenyewe kwa wenyewe.
 
Watu hawajui, Samia kuna siku chadema na wapinzani watamliza kwa kutumia JPM. Na kama ccm haitakuwa makini sasa mwaka 2025 upinzani utachukua nchi kupitia kwa mgongo wa JPM. Hakuna kama Nyerere na JPM nchi hii hadi sasa
Kwani wapinzani wakichukua nchi ni dhambi! Au unataka kusemaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…