Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kwa Taifa na Watanzania - Jan 2021

Oyooooooo! Sema baba! Sema usimuogope jiwe, nchi yetu sote hii.

Ataiba Sana kura kwenye mabegi meusi, atakufanyia Sana figisu lkn kamwe hutarudi nyuma.

Sema baba! Tena mpe vidonge vyake.
 
Mwelekeo yeye kama nani huyu raia wa kawaida machokumchuzi anashida sana
Raia wa kawaida yeyote, hata Wewe, ana haki ya kuongea na taifa lake wakati wowote! Pia ‘binadamu wote ni sawa’, wawe watawala au watawaliwa! Kwa kukujibu swali lako, Mbowe ni Nani, ni mwenyekiti wa chama cha upinzani, (CHADEMA) kinacho ogopwa zaidi Tanzania!
 
Chadema nguzo ya Taifa , bila Chadema nchi itayumba

 
Kwenye Mambo ya mawasiliano ,chadema wanakwama sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…