Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alishazama atawavusha kuwapeleka wapi?
Ajira hiyo. Wako kazini!Hadi kufikia hapa, mabandiko zaidi ya 25 yaliyowekwa hapa, hakuna hata moja linaloandika alichosema Mwenyekiti!
Popole anajivunia sana timu yake hii humu JF.
Na hawa jamaa wa CHADEMA, nao hata siku moja hawawastukii hawa wachafuzi, wao nao wanazidi tu kuwashangilia na kuwaweka moto waendeleze uchafuzi zaidi.
Sijui ni sababu zipi huwa zinawafanya wasione ujinga huu na kuupuuza!
Hivi hawa warembo WA tandale wako wapi SASA hivi? Yaani walishindwa kuzuia hako kajamaa kasiibiwe kura zake ........yaone na blauzi zao nyekundu.....wanafikiri serikali inalindwa na mabaunthaaaaaa😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA (T) Mhe. Freeman Mbowe kwa Taifa na Watanzania, mwelekeo wa 2021.
Mpaka makovu ya kichapo cha mbwa mtu kwenye box la kura yaishe mtakuwa mmenyooka.Nimecheka kwa nguvu kinoma, Id ya wiki iliyopita, baada ya Mataga wa zamani kukimbia kutokana na ukata, sasa katibu Mkuu unapambana mwenyewe. Kisha pambano lenyewe unatema pumba za hatari. Kawasaidie wenzako huko kwenye kura maana jiwe analambishwa mchanga vibaya sana.
Awavushe kwenda Machame!?# MWAMBA TUVUSHE
Ndo shida ya nyumbu, badala ya kujibu hoja, hujibu kwa matusi matusi.Bila shaka wewe ni mpumbavu.
Avuke kwanza kwa SabàiAlishazama atawavusha kuwapeleka wapi?
Bora kuwa nyumbu kuliko kuwa mpumbavu maana mpumbavu amejaa laana na kila aina ya uovu.Ndo shida ya nyumbu, badala ya kujibu hoja, hujibu kwa matusi matusi.
Sisi tuna Id zetu kama kawaida, nyie mnaofungua Id kila siku ili kujitetea ndio tuwaulize ni ushindi upi huo?Mpaka makovu ya kichapo cha mbwa mtu kwenye box la kura yaishe mtakuwa mmenyooka.
Naona kama hauna hoja za msingi na umekuwa kama mtu uliyekata tamaa. Ngoja nikuache.Sisi tuna Id zetu kama kawaida, nyie mnaofungua Id kila siku ili kujitetea ndio tuwaulize ni ushindi upi huo?
Naona kama hauna hoja za msingi na umekuwa kama mtu uliyekata tamaa. Ngoja nikuache.