Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Nijipendekeze ili iwe vipi?Hoja za msingi ww ndio wa kuzipima wakati ww mwenyewe unaishi kwa kujipendekeza. Nimecheka, yaani bora ukae kimya tu wanaume walioongea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nijipendekeze ili iwe vipi?Hoja za msingi ww ndio wa kuzipima wakati ww mwenyewe unaishi kwa kujipendekeza. Nimecheka, yaani bora ukae kimya tu wanaume walioongea.
akili mfu hiyoIdadi ya watanzania inayosoma au kusikiliza hizi habari za mitandaoni za vyama vya upinzani ni aslimia 0.00000001%. Yaani ni sufuri na baada ya muda usiozidi mwaka 1 watanzania watakuwa wamevisahau kabisa vyama hivi isipokuwa ACT huko Zanzibar!
Nijipendekeze ili iwe vipi?
Dogo nipo Segese ,sina njaa kinamna unavyodhania. Hapa ni kusaga mawe ya dhahabu na kupembua tu.Ili utolewe kimaisha.
Imepuuzwa na nani???!!!Kulikoni wana Bavicha? Yani Mbowe anatoa hotuba alafu inapotezewa kiasi hiki?
Mbowe alipotoa ile hotuba alitaka vijana wake muishambulie kwa sifa lukuki ili aendelee kusikika! Inakuwaje hotuba ile imepita kimya kimya?
Sijapenda kabisa.
Ingepita kimyakimya usinge iongeleaKulikoni wana Bavicha? Yani Mbowe anatoa hotuba alafu inapotezewa kiasi hiki?
Mbowe alipotoa ile hotuba alitaka vijana wake muishambulie kwa sifa lukuki ili aendelee kusikika! Inakuwaje hotuba ile imepita kimya kimya?
Sijapenda kabisa.
Mbowe ni baba wa taifa wa pili,nondo zake sio za dunia hii,Naona magu kaipotezea pia, hajamwagiza Siro amkamate mbowe kwa uchochezi.Kilichosemwa na mbowe ni. Ukweli mchungu.uchafuzi mkuu badala ya uchaguzi mkuu....haahaa
Mbowe hana impact yeyote kwa sasa hapa nchini.Naona magu kaipotezea pia, hajamwagiza Siro amkamate mbowe kwa uchochezi.Kilichosemwa na mbowe ni. Ukweli mchungu.uchafuzi mkuu badala ya uchaguzi mkuu....haahaa
Hakika tutavushwa# MWAMBA TUVUSHE