Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kwa Taifa na Watanzania - Jan 2021

Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kwa Taifa na Watanzania - Jan 2021

Unajidai hauna habari na Mbowe ila peke yako umeamua kuijaza thread inayomuhusu kwa comments zako, wacha kujitesa, Mbowe atawapeleka mbio sanaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu Mbowe huyu anawapeleka mbio kina nani?

Kwenye uchaguzi kapata mbunge mmoja,!

Yani hakuna uchaguzi Mbowe kala hasara kama huu
 
Hadi kufikia hapa, mabandiko zaidi ya 25 yaliyowekwa hapa, hakuna hata moja linaloandika alichosema Mwenyekiti!
Popole anajivunia sana timu yake hii humu JF.

Na hawa jamaa wa CHADEMA, nao hata siku moja hawawastukii hawa wachafuzi, wao nao wanazidi tu kuwashangilia na kuwaweka moto waendeleze uchafuzi zaidi.

Sijui ni sababu zipi huwa zinawafanya wasione ujinga huu na kuupuuza!
 
Hadi kufikia hapa, mabandiko zaidi ya 25 yaliyowekwa hapa, hakuna hata moja linaloandika alichosema Mwenyekiti!
Popole anajivunia sana timu yake hii humu JF.

Na hawa jamaa wa CHADEMA, nao hata siku moja hawawastukii hawa wachafuzi, wao nao wanazidi tu kuwashangilia na kuwaweka moto waendeleze uchafuzi zaidi.

Sijui ni sababu zipi huwa zinawafanya wasione ujinga huu na kuupuuza!
Hakuna alichoongea, ndio maana unaona hadi mabavicha ya humu yapo kimyaa
 
Usinilazimishe kujiunga na upumbavu kama huu unaoonyesha hapa.

Sijibishani nawe tena.
Nani kakulazimisha? Na unajibishana na nani? Mbona unajistukia mtoto wa kiume?
Mchezo upo nyumba ya jirani, ila miuno unakatika wewe.
 
Hawa wazee walibuni fashion ya kupinga kila kitu hata miradi ya wananchi kwenye majimbo yao. Sasa walitaka warudi bungeni wafanye nini au waendelee kupinga? Waje tukae wote huku kwenye bench la wasikilizaji.
Hoja ya magufuli iliyokufa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu Mbowe huyu anawapeleka mbio kina nani?

Kwenye uchaguzi kapata mbunge mmoja,!

Yani hakuna uchaguzi Mbowe kala hasara kama huu

Vyombo vya dola havikumpa kura kwenye yale maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi uitwao uchaguzi.
 
Mwelekeo yeye kama nani huyu raia wa kawaida machokumchuzi anashida sana
Maneno ya kashfa yanini machokumchuzi imeingia? Nikiongozi wa chama kikuu kinachopendwa na watanzania analafdhi nzuri anapoongea kiswahili haongei kama Mkongoman,do you still need more explanation on who he is??
 
Back
Top Bottom