WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Wewe nani fara?Kilicho baki humu ndani ni kujifariji kwa nyuzi kama hizi na kuzipa thanks nyingi kwa miaka mitano ijayo halafu 2025 mnapigwa mtama mwingine halafu mnaendelea kulia lia hadi akili iwakae sawa.
Hilo lililonuna hapo nyuma ni li nani?
Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA (T) Mhe. Freeman Mbowe kwa Taifa na Watanzania, mwelekeo wa 2021.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu Mbowe huyu anawapeleka mbio kina nani?Unajidai hauna habari na Mbowe ila peke yako umeamua kuijaza thread inayomuhusu kwa comments zako, wacha kujitesa, Mbowe atawapeleka mbio sanaa.
Li babako hiloHilo lililonuna hapo nyuma ni li nani?
Wakati Mbowe anakanyagwa kanyagwa na wale wanaume watatu hao mabaunsa walikuwa wanamwangalia tuu.
Hakuna alichoongea, ndio maana unaona hadi mabavicha ya humu yapo kimyaaHadi kufikia hapa, mabandiko zaidi ya 25 yaliyowekwa hapa, hakuna hata moja linaloandika alichosema Mwenyekiti!
Popole anajivunia sana timu yake hii humu JF.
Na hawa jamaa wa CHADEMA, nao hata siku moja hawawastukii hawa wachafuzi, wao nao wanazidi tu kuwashangilia na kuwaweka moto waendeleze uchafuzi zaidi.
Sijui ni sababu zipi huwa zinawafanya wasione ujinga huu na kuupuuza!
mkuu nimesahau miwani yangu , nashindwa kuona vizuriHilo lililonuna hapo nyuma ni li nani?
Tangu mwamba wenu atake kutuingiza chaka kwenye CORONA tunampuuza tu siku hizi.# MWAMBA TUVUSHE
Usinilazimishe kujiunga na upumbavu kama huu unaoonyesha hapa.Hakuna alichoongea, ndio maana unaona hadi mabavicha ya humu yapo kimyaa
Nani kakulazimisha? Na unajibishana na nani? Mbona unajistukia mtoto wa kiume?Usinilazimishe kujiunga na upumbavu kama huu unaoonyesha hapa.
Sijibishani nawe tena.
Hoja ya magufuli iliyokufa.Hawa wazee walibuni fashion ya kupinga kila kitu hata miradi ya wananchi kwenye majimbo yao. Sasa walitaka warudi bungeni wafanye nini au waendelee kupinga? Waje tukae wote huku kwenye bench la wasikilizaji.
Mbona hamna sautiHotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA (T) Mhe. Freeman Mbowe kwa Taifa na Watanzania, mwelekeo wa 2021.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu Mbowe huyu anawapeleka mbio kina nani?
Kwenye uchaguzi kapata mbunge mmoja,!
Yani hakuna uchaguzi Mbowe kala hasara kama huu
Dikteta jiwe ni mtu mwenye "stress" sana tangu kitambo.
Mbona haieleweki? halafu inaonkana haikukamilika hii.# MWAMBA TUVUSHE
Maneno ya kashfa yanini machokumchuzi imeingia? Nikiongozi wa chama kikuu kinachopendwa na watanzania analafdhi nzuri anapoongea kiswahili haongei kama Mkongoman,do you still need more explanation on who he is??Mwelekeo yeye kama nani huyu raia wa kawaida machokumchuzi anashida sana