Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

wacha longo longo wewe!
Ume copy na ku paste hapa hapa Jf! Bora ungebadilisha kidogo heading.
 
wacha longo longo wewe!
Ume copy na ku paste hapa hapa Jf! Bora ungebadilisha kidogo heading.

Nimetumiwa kwenye e-mail yangu nikaamua ku-share na ambao hawajaiona, kama wewe umeiona JF sema tu siyo kuita watu waongo kama mlivyozoea lugha zenu za vijiweni, kuwa mstaarabu. Pia sio wote wanaolala hapa JF kwamba kila post ikitumwa kwenye kila jukwaaa atakuwa ameionam sawa??. Ndiyo maana nikasema kwa ambaye hajaiona. Ni kweli pia nimeikopi huko nilikoitoa na kui paste hapa kama nilivysema.
 

Hamna kitu kigumu ku overcome kama slave mentality, hii kitu imekuwa passed down the line kutoka kwa mababu zetu na itachukua muda mrefu sana kufutika, from the discussion between you two still naona watu ambayo wapo chini ya slave mentality. Japo ulipingana na huyo jenerali wa kisauzi lakini bado umeacha option ya kwamba "maybe" tuwaachie wazungu watutawale tena ilitupate maendeleo. Sasa hapo unakuwa na tofauti gani na viongozi wa kiafrika ambayo wanadhani njia pekee ya kuleta maendeleao kwenye nchi zao ni hadi wapate misaada toka kwa nchi wahisani? Kama waafrika hatujiamini kwamba haya matatizo tuliyonayo hatuwezi kusuluhisha wenyewe hadi tusaidiwe basi wote ni watumwa tu. Na ninapoongela matatizo naongolea matatizo yote tunayopitia kuanzia uongozi mbovu,rushwa,elimu duni, uvivu na tamaduni potufu zinazoturudisha nyuma na its start from individual to a community level. Tuanze kuleta maendeleo kwa vitendo na siyo kwa kulaumiana tu.
 
Mimi c kubaliani na Botha kabisa, ni hotuba ya kibaguzi. Ila kwa upande wapili hebu tujiangalie c weusi, vita ya wenyewe kwa wenyewe, ufisadi, rushwa, watu kuwa watumwa yaani uhuru wa kisiasa lakini utumwa wa kiuchumi. Mikopo ya wafadhili ingali tuna mali nyingi, waziri muhongo na Jk wake kukiri kuwa hatuwezi kuwekeza kwenye gesi!
 
It is with great sadness and a heavy heart that I agree with Botha"s assement of what we blacks have been all around the history of mankind. My tears are pulled from my eyes when I evedently see the investment we make in politics while leaving our health system and education systm fall to the ruin. Now that we cant be sure of education for our kids and our own health, who would dispute that we can not think beyond a year??? Now that we know sexual relations are making leaders in the country who would dispute the fact that is sex and what comes with it is the only thing that goes around our heads. Fellow great thinkers am taking a minute to cry that I see a proof of what Botha had said as am closing this comment.
 
------------------------------------------------------------------------------------------------------------
 
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
 
---------------------------------------------------------------------------------------------------------------
 
-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
 

sorry mkuu Una ID zaidi ya moja? Coz alie post huu Uzi ni Mtoto wa mkulima na huku naona Kuna id ya IROKOS!! Au kasimu kangu..
 
Duh! Jamaa alikuwa na ugonjwa wa ubaguzi wa rangi kweli kweli. Hata hivyo, ninafikiri si kila mtu mweupe ana tatizo hilo. nakumbuka nimewahi kukutana na dada mmoja mzungu (Afrikaaner) wa Afrika kusini. Yeye alikuwa kinyume kabisa na dhana ya ubaguzi wa rangi na alikuwa anailaani hasa. Ninaamini kila jamii yenye uovu wa aina fulani, kuna angalau watu wachache walio wema.
 
Ukiangalia, ukisikiliza na kutafakari kwa makini mambo yanayoendelea bungeni dodoma, utakubaliana na huyu botha.
 
Anayoyaongea ni ukweli mtupu...amejitahidi kutokuwa mnafiki kama wazungu wengine...He is calling a spade a spade....Just by its name.
 

Kwani alisema nini cha uongo hapo? Mi sijaona ubaguzi hapo.
 

Umenikumbusha jamaa wanaosemaga wanaunga hoja asilimia 100 alafu wanaanza kupomda hoja hiyohiyo!
 

Unajua kusema kweli hawa jamaa ni wabaguzi lakini ubaguzi wao kwetu umetokana pia na historia yetu mbaya na kweli tusipokuwa makini watatumaliza je si kweli wanatupa silaha tuuwane? je si wametuletea gonjwa la ukimwi na kwa kuwa sisi tunapenda sana ngono linatumaliza? Kondomu tunazotumia na pedi dada zetu wanazotumia zinatoka kwao je kama wakihamua kutuangamiza si kazi rahisi sana. Pia wanamipango mbalimbali yakuhakikisha hatuongezeki wametuletea uzazi wa mpango lakini madawa yanayotumika yamedhibitika kuwa na madhara leo wadada wanaopata shida za uzazi ni wengi mno. sasa wanakuja na sera ya ushoga ili wanaume tuoane na kutokuendeleza uzazi. sasa hawa wananianjema na sisi kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…