Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

KWa alioyaongea huyo kaburu wako, kuna sehemu yeyote uliona kama kadanganya au katuonea weusi? I mean uliona makosa gani kwa huo ujumbe wake?
 
😱 I wonder % ya 'wazungu' wengine wanatufikiriaje na wao na maskendeli yetu kila kukicha as if "weusi" ni 'vichwa' vya wendawazimu!!!!
kujikinga na Corona kwa kutumia njia zetu na madawa yetu,ss wenyewe tunapinga vikali,badala yake tunapigia chapuo maelekezo ya wazungu.sasa wataachaje kutuona vichwa vya wendawazimu
 
Ungemuambia lakini na yeye ni muafrica tu tatizo ni rangi tu
Mtaanza kubishana kuhusu historia za mababu zenu then utajikuta unashindwa tu. Kama wale Wapare wa pale Kibaha, si waliletwaga na mhe Msuya miaka ya 80 baada ya ardhi ya kwao kua imechoka? So wale sio Wazaramo, ni Wapare ingawa na ubunge tunawapa wao but kwao ni Same huko.
 
Mandela naye akija kufanyiwa uchunguzi ili awe Mtakatifu sitoshangaa...after all this kind of dirty talk one is still in a position to forgive and forget...binadamu wa ajabu sana huyu...
Unaaminije kama Mandela alietoka gerezani ndio yeye??na sio cloning??Mi naamini alikua feki Mandela!!!
 
Botha alikuwa mwanasiasa wa asili ya makaburu na waziri mkuu wa Afrika Kusini kati ya 1978 na 1984. Pia alikuwa raisi wa SA kati ya 1984 na 1989.

1. ENGLISH:
"If God wanted us to be equal to the Blacks, he would have created us all of a uniform colour and intellect. But he created us differently: Whites, Blacks, Yellow, Rulers and the ruled. Intellectually, we are superior to the Blacks; that has been proven beyond any reasonable doubt over the years"

KISWAHILI:
"Ikiwa Mungu angetaka tuwe sawa na Weusi, angetuumba sisi sote kwa rangi moja na akili. Lakini alituumba tofauti: Weupe, Weusi, Njano, Watawala na watawaliwa. Kiakili, sisi ni bora kuliko Weusi; ambayo imethibitishwa bila shaka yoyote kwa miaka mingi"

2: ENGLISH:
"By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other. They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex. Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty, mental inferiority, laziness and emotional incompetence. Isn’t it plausible, therefore that the White man is created to rule the Black man? "

KISWAHILI:
"Kwa sasa kila mmoja wetu ameona kwa vitendo kwamba Weusi hawawezi kujitawala wenyewe. Wape bunduki na watauana. Hawafai kitu kingine isipokuwa kufanya kelele, kucheza, kuoa wake wengi na kujiingiza katika ngono. Sote tukubali kwamba Mtu Mweusi ni ishara ya umaskini, uduni wa kiakili, uvivu na uzembe wa kihisia. Je, haikubaliki, kwa hivyo kwamba Mzungu ameumbwa kumtawala Mtu Mweusi? "


 
Alikuwa anaongea out of frustration baada ya watu weusi kukomaa kudai nchi yao waliyopewa na Mungu huyo huyo anayedai kawaumba wakiwa dhaifu. Kama Mungu aliwapendelea wao wangekuwa na ardhi kubwa yenye kila kitu na wasingetangatanga kwenda maeneo mengine kupora ardhi na rasilimali nyingine. Afterall, waliwaomba watoke huko kwao waje wawatawale hadi afikiri kwamba wao walishindwa kujitawala. Baada ya kukosoa uumbaji wa Mungu tayari ameshakuwa chakula cha funza, maana kiburi cha uhai ndo kilikuwa kinamfanya kuongea hayo maneno ya kufuru dhidi ya watu weusi. Mungu hadhihakiwi hata kidogo, kaozea kaburini lakini watu weusi wanadunda hadi leo.
 
Aise jamaa kasema ukweli mtupu hapo.
 
Ndivyo tulivyo. najua ni ngumu kukubali, lakini mwafrika yuko hivyo! Miaka 60 ya uhuru tazama ytulivyo! Kila mmoja aniba na kuweka fedha ulaya
 
Hakuna kitu mbongo anafurahia kama kutukanwa na mizungu tena anaunga mkono kabisa na hakuna kitu mbongo anapenda kama kusifia kitu cha nje. A lost nation.
 
naked truth miafrika ndivyo tulivyo hakuna cha kupepesa macho hapa , hivi kwa watu wenye akili timamu unaweza kuamini kwamba ukipigwa risasi inaweza kugeuka maji, majimaji war, upuuzi wa kiwango cha SGR kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…