Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

Ukibadili hiyo hotuba na ukaileta kwenye mazingira yetu ya sasa utaona kuna mfanano wa tabia za makaburu na makaburu- weusi wa sasa hapa kwetu. Kwani si CCM wanajiona bora kuliko hata waliowachagua?? Wapo tayari kuangamiza wanaowapinga kwa sumu, kwa bunduki ama njia yoyote ile ili watawale wao, wapo tayari kugawa fedha ili mambo yao yafanikiwe na jumuiya za kimataifa zikisema wanawashangaa kwa kusema Tanzania ni taifa huru hivyo hayawahusu!
 
Alikuwa mgonjwa wa akili, anyway yuko kwa maker wake, atayajibu yote hayo...
 
Hotuba hii iliyochapishwa
katika gazeti la SUNDAY TIMES la
nchini humo toleo la Agosti 18,
1985,

ANAANZA,

“Kaka zangu na dada zangu,
Pretoria imetengenezwa na watu
weupe kwa ajili ya watu weupe na
hatuna haja ya kuuthibitishia
umma au kumthibitishia mtu
mweusi kuwa sisi ni watu bora,
tumekuwa tukiwaambia watu
weusi jambo hili kwa njia elfu.

Afrika ya Kusini ya leo
haikutengenezwa katika mawazo
ya kawaida, tumeitengeneza kwa
kutumia akili nyingi, jasho na
damu. Mnaposema kuwa
tunawabagua watu weusi sielewi,
Hivi ni Makaburu ndio waliojaribu
kusitisha kizazi cha Waaborigini
wa Australia? Je, ni Makaburu
waliowatenga na kuwanyanyasa
watu weusi Marekani kwa kuwaita
niggaz? Je, ni Makaburu ndio
waliowatenga na kuwanyanyasa
watu weusi huku Uingereza kwa
kuwatungia sheria za
kuwakandamiza? Kanada,
Ufaransa, Urusi na Japani nao
wana njia zao za kibaguzi. Hivi
kwa nini hasa kuna kelele nyingi
dhidi yetu? Huu ni uendawazimu!
Kwa nini wanatukaba koo kiasi
hiki? Hawatutendei haki hata
kidogo.

Nataka kuwaeleza kuwa hakuna
kibaya tunachokitenda hapa
ambacho hao wanaojiita wako
katika dunia ya ustaarabu
wameacha kukifanya. Sisi ni watu
wema tusio na hatia na ambao
tumeweka wazi mfumo wa maisha
tunayotaka tuishi kama watu
weupe. Sisi sio wanafiki kama
wazungu wenzetu wafanyao kama
kwamba wanawapenda watu
weusi.

Ukweli kuwa watu weusi
wanafanana na binadamu na
kutenda mambo kama binadamu
hauhalalishi wao kuwa watu wenye
akili timamu au binadamu
waliotimia. Kanunguyeye si
nungunungu na mijusi hawawezi
kuwa mamba eti kwa sababu tu
wanafanana. Kama Mungu
angelitaka tufanane na watu weusi
angetufanya sote tuwe na rangi na
fikra sawa. Lakini alituumba
tofauti: Weupe, Weusi, Wanjano,
watawala na watawaliwa. Katika
upeo sisi ni bora kuliko watu weusi
na hilo halina ubishi kwani
limejidhihirisha kwa miaka mingi
iliyopita. Naamini kuwa Kaburu ni
mtu safi, mwenye hofu na Mungu.
Ni mtu ambaye ameonesha kwa
vitendo njia sahihi ya utu.

Hata hivyo, inafurahisha kuona kuwa
Ulaya, Marekani, Kanada, Australia
na wengine wengi wako nyuma
yetu achilia mbali maneno yao.
Kuhusu uhusiano wa kidiplomasia,
sote tunafahamu lugha
invyotakiwa kutumika. Na kwa
ushahidi ulio wazi hivi kuna mtu
hapa asiyejua kuwa nchi nyingi za
Ulaya zinatamani kuja kuwekeza
Afrika ya Kusini? Nani anayenunua
dhahabu yetu? Nani anayenunua
almasi yetu? Nani anafanya
biashara nasi? Nani anatusaidia
katika kuendesha silaha za
nyuklia? Ukweli ni kwamba sisi ni
watu wao na wao ni watu wetu.
Hii ni siri kubwa.

Nguvu ya uchumi wetu inajengwa
kwa kiasi kikubwa na Marekani,
Uingereza na Ujerumani. Ni jambo
kubwa sana hili na kwa maana
hiyo, mtu mweusi ni malighafi kwa
mtu mweupe. Hivyo basi, kaka na
dada zangu hebu tuungane
kumpiga vita huyu shetani mweusi.
Napiga mbiu kwa Makaburu wote
kujitokeza kwa hali na mali
kupigana vita hii. Hakika Mungu
hawezi kuwatupa watu wake
ambao ni sisi.

Hadi sasa imeonekana kwa vitendo
kuwa watu weusi hawawezi
kujitawala. Wape bunduki kama
hawataanza kuuana. Hawana
lolote jema isipokuwa mashujaa
wa kupiga kelele, kucheza ngoma,
kuoa wanawake wengi na kupenda
sana ngono. Hebu sasa tukubali
kuwa mtu mweusi ni alama ya
umaskini, udumavu wa akili, uvivu
na kukosa ushindani, Hivi hapo, je,
si kweli kwamba mtu mweupe
aliumbwa ili amtawale mtu
mweusi? Hivi utajisikiaje ukiamka
asubuhi ukamkuta kafiri, yaani
mtu mweusi amekalia kiti cha
utawala? Hivi unajua
kitakachotokea kwa wanawake
wetu? Hivi kuna mtu anawaza
kwamba mweusi ataitawala nchi
hii?

Kwa hiyo tuna sababu nzuri ya
kuwapeleka akina Mandela jela
waozee huko na katika hili
nadhani upo umuhimu wa kupewa
pongezi kwani tungekuwa na
uwezo wa kuwaangamiza lakini
bado wanaishi. Napenda
kuwatangazia mikakati mipya ya
kuwaangamiza hawa watu weusi.
Tutumie sumu kuwamaliza. Kamwe
tusiruhusu idadi ya watu weusi
iendelee kukua vinginevyo
tutakwisha.

Tayari nimeshawaleta wanasayansi ambao wamekuja na
sehemu kubwa ya mzigo wa sumu
na ninawasaka watafiti wengine
zaidi waangalie sehemu murua za
kuitumia sumu hiyo kwa lengo la
kuwaangamiza watu weusi.
Sehemu nzuri za kuwaangamizia
kwa sumu ni hospitalini na pia
katika usambazaji wa chakula
inaweza kutumika. Tumetengeneza
sumu inayoua taratibu na
kupunguza uwezo wa uzazi. Lakini
hofu yetu ni kwamba itakuwaje
kama sumu hiyo itaangukia
kwenye mikono yao. Hata hivyo,
tunafanya kila tuwezalo
kuhakikisha kuwa sumu hiyo
inabaki katika himaya yetu.

Pili, watu weusi wanapenda sana
pesa kwa hiyo tunaweza kuwatega
kwa njia hiyo. Wataalamu wetu,
wanalifanyia kazi suala hilo ili mtu
mweusi amchukie mtu mweusi
mwenzake. Hawana upeo wa
kufikiri na huyo ndiye kiumbe
dhaifu kisicho na akili ya kuona
mbali. Kuna umuhimu mkubwa wa
kupanga mambo hayo yaendelee
kwa muda mrefu ili wasibaini
kinachoendelea. Kwa kawaida mtu
mweusi hapangi mikakati inayozidi
kipindi cha mwaka mmoja. Na
hapa napenda niwaombe akina
mama wote wa kikaburu wazae
kwa fujo kusudi kuongeza idadi
yetu. Litakuwa jambo la maana
pia kama kutatengwa vituo
maalumu ambako vijana wa kike
na wa kiume watakaa na serikali
kuwawezesha kuzaa kwa idadi
kubwa iwezekanavyo ili kuongeza
idadi yetu.

Wakati hilo likiendelea, lazima
tuwabane watu weusi waachane
na wake zao. Ninayo kamati
inayoratibu na kuangalia njia nzuri
ya kuwafanya watu hawa
wachukiane na wauane wenyewe
kwa wenyewe. Adhabu kwa mtu
mweusi aliyemuua mtu mweusi
mwenzie iwe ndogo ili kuwapa
hamasa ya kuendelea na mauaji.
Wanasayansi wangu wameshauri
pia kwamba kuna ulazima wa
kuwawekea sumu kwenye pombe,
sumu ambayo itakuwa inawaua
taratibu na kumaliza uwezo wa
kuzaa pia. Njia kama hii na
nyingine zinafananazo na hii
itarahisisha kuipunguza idadi yao.
Rekodi zinaonyesha pia kuwa mtu
mweusi anampenda sana
mwanamke mweupe.

Hii ni nafasi
nzuri kwetu. Wanawake wetu
warembo wanaotumika katika
mbinu za kuwaangamiza
wapinzani wetu watatumika
kuwaua hao wanaopinga ubaguzi
wa rangi. Hili ni jeshi letu la
mwituni la mapenzi huku tukiwa
na jeshi kama hilo kwa upande wa
wanaume weupe ambao
watawafuata wanawake weusi.
Pia serikali imeagiza malaya
kutoka Marekani na Ulaya kwa ajili
ya kukidhi haja hiyo. Ombi langu
la mwisho ni kwamba wajawazito
wanapozaa hospitalini, watoto
lazima wauawe pindi tu
wanapotoka tumboni. Hatuwalipi
wale wauguzi kwa ajili ya
kutuletea watoto weusi katika
dunia hii bali kuwaangamiza.
Serikali yangu imetenga fungu
maalumu la pesa kwa ajili ya
kujenga hospitali na kliniki kwa
ajili ya kufanikisha mpango huo.
Pesa inafanya lolote na kwa vile
tunazo tuzitumie ipasavyo.

Kwa muda huu, ndugu zangu
weupe, msiyaweke moyoni maneno
yanayosemwa dhidi yetu na wala
msione aibu kuitwa wabaguzi na
wala sijali kuitwa mhandisi na
mfalme wa ubaguzi. Siwezi
kugeuka nyani eti kwa sababu mtu
kaniita nyani. Nitabaki kuwa nyota
inayong’aa ... mtukufu Botha. Leo
naondoa mawingu; kesho
nitajaribu milima"

Hakika inasikitisha[emoji848][emoji848][emoji848]kwa mastory mengi ya kustajabisha dunia kama haya yanapatikana world stories group bonyeza hiyo link hapo chini kujiunga[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]

SIMULIZI & STORIES
Huyo jamaa huko alipo alale mahali pema peponi

Sio kwa kuwajua huku nyani..![emoji3][emoji16][emoji16]
 
Mfumo wa Apartheid na ya ubaguzi wa rangi bahati nzuri umeisha. Lakini msema kweli....
Jamani, article hii inatokea kila mwaka, na kila mwaka wengi wanaamini kwamba ni ya kweli. SI YA KWELI. NI FEKI. Speech hii SI KWELI. Just google it plus fake.... Sitasema zaidi ya kwamba Internet ni kubwa sana na ndani utapata kila kitu, mpaka fake news kama hizi. Mwamkeni jamani, tuwe critical thinkers wa kweli kwa kufanya utafiti wa kina, la kila mwaka tunarudia hayo hayo.
 
  • Thanks
Reactions: a45
Kwa vitendo waafrika ya kusini unyama wanaoufanyia waafrika wenzao kutoka nchi mbali mbali ilikuwa ni sahihi kabisa kwa makaburu kuwatawala hao jamaa kwa sera za kibaguzi.
VIVA PIK BOTHA NA MAKABURU WOTE IKIWEZEKANA MRUDI KUTAWALA SOUTH AFRICA
 
Hayo ni matokeo ..au ni makovu ya ubaguzi...
Miaka 50 au 100 ijayo ndio watajiwambua!
 
Kwa wale msiojua kiingereza na wavivu wa kusoma mtanisamehe
PW Botha - Hoax 1985 speech
A hoax email is doing the round purporting that the following was a speech by PW Botha.
THE FOLLOWING is a speech made by former South African President P.W. Botha to his Cabinet. This reprint was written by David G. Mailu for the Sunday Times, a South African newspaper, dated August 18, 1985.

"Pretoria has been made by the White mind for the White man. We are not obliged even the least to try to prove to anybody and to the Blacks that we are superior people. We have demonstrated that to the Blacks in a thousand and one ways. The Republic of South Africa that we know of today has not been created by wishful thinking. We have created it at the expense of intelligence, sweat and blood. Were they Afrikaners who tried to eliminate the Australian Aborigines? Are they Afrikaners who discriminate against Blacks and call them Nigge*rs in the States? Were they Afrikaners who started the slave trade? Where is the Black man appreciated? England discriminates against its Black and their "Sus" law is out to discipline the Blacks. Canada, France, Russia, and Japan all play their discrimination too. Why in the hell then is so much noise made about us? Why are they biased against us? I am simply trying to prove to you all that there is nothing unusual we are doing that the so called civilized worlds are not doing. We are simply an honest people who have come out aloud with a clear philosophy of how we want to live our own White life.

We do not pretend like other Whites that we like Blacks. The fact that, Blacks look like human beings and act like human beings do not necessarily make them sensible human beings. Hedgehogs are not porcupines and lizards are not crocodiles simply because they look alike. If God wanted us to be equal to the Blacks, he would have created> us all of a uniform colour and intellect. But he created us differently: Whites, Blacks, Yellow, Rulers and the ruled. Intellectually, we are superior to the Blacks; that has been proven beyond any reasonable doubt over the years. I believe that the Afrikaner is an honest, God fearing person, who has demonstrated practically the right way of being. Nevertheless, it is comforting to know that behind the scenes, Europe, America, Canada, Australia-and all others are behind us in spite of what they say. For diplomatic relations, we all know what language should be used and where. To prove my point, Comrades, does anyone of you know a White country without an investment or interest in South Africa? Who buys our gold? Who buys our diamonds? Who trades with us? Who is helping us develop other nuclear weapon? The very truth is that we are their people and they are our people. It's a big secret. The strength of our economy is backed by America, Britain, Germany. It is our strong conviction, therefore, that the Black is the raw material for the White man. So Brothers and Sisters, let us join hands together to fight against this Black devil. I appeal to all Afrikaners to come out with any creative means of fighting this war. Surely God cannot forsake his own people whom we are. By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other. They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex. Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty, mental inferiority, laziness and emotional incompetence. Isn't it plausible? therefore that the White man is created to rule the Black man? Come to think of what would happen one day if you woke up and on the throne sat a Kaff*ir! Can you imagine what would happen to our women? Does anyone of you believe that the Blacks can rule this country?

Hence, we have good reasons to let them all-the Mandelas-rot in prison, and I think we should be commended for having kept them alive in spite of what we have at hand with which to finish them off. I wish to announce a number of new strategies that should be put to use to destroy this Black bug. We should now make use of the chemical weapon. Priority number one, we should not by all means allow any more increases of the Black population lest we be choked very soon. I have exciting news that our scientists have come with an efficient stuff. I am sending out more
researchers to the field to identify as many venues as possible where the chemical weapons could be employed to combat any further population increases. The hospital is a very strategic opening, for example and should be fully utilized. The food supply channel should be used. We have eveloped excellent slow killing poisons and fertility destroyers. Our only fear is in case such stuff came in! ! to their hands as they are bound to start using it against us if you care to think of the many Blacks working for us in our

However, we are doing the best we can to make sure that the stuff remains strictly in our hands. Secondly, most Blacks are vulnerable to money inducements. I have set aside a special fund to exploit this venue. The old trick of divide and rule is still very valid today. Our experts should work day and night to set the Black man against his fellowman. His inferior sense of morals can be exploited beautifully. And here is a creature that lacks foresight. There is a need for us to combat him in long term projections that he cannot suspect. The average Black does not plan his life beyond a year: that stance, for example,should be exploited. My special department is already working round the clock to come out with a long-term operation blueprint. I am also sending a special request to all Afrikaner mothers to double their birth rate. It may be necessary too to set up a population boom industry by putting up centres where we employ and support fully White young men and women to produce children for the nation. We are also investigating the merit of uterus rentals as a possible means of speeding up the growth of our population through surrogate mothers.

For the time being, we should also engage a higher gear to make sure that Black men are separated from their women and fines imposed upon married wives who bear illegitimate children.

I have a committee working on finding better methods of inciting Blacks against each other and encouraging murders among themselves. Murder cases among Blacks should bear very little punishment in order to encourage them.

My scientists have come up with a drug that could be smuggled into their brews to effect slow poisoning results and fertility destruction. Working through drinks and manufacturing of soft drinks geared to the Blacks, could promote the channels of reducing their population. Ours is not a war that we can use the atomic bomb to destroy the Blacks, so we must use our intelligence to effect this. The person-to-person encounter can be very effective.

As the records show that the Black man is dying to go to bed with the White woman, here is our unique opportunity. Our Sex Mercenary Squad should go out and camouflage with Apartheid Fighters while doing their operations quietly administering slow killing poison and fertility destroyers to those Blacks they thus befriend.

We are modifying the Sex Mercenary Squad by introducing White men who should go for the militant Black woman and any other vulnerable Black woman. We have received a new supply of prostitutes from Europe and America who are desperate and too keen to take up the appointments.

My latest appeal is that the maternity hospital operations should be intensified. We are not paying those people to help bring Black babies to this world but to eliminate them on the very delivery moment. If this department worked very efficiently, a great deal could be achieved.

My Government has set aside a special fund for erecting more covert hospitals and clinics to promote this programme. Money can do anything for you. So while we have it, we should make the best use of it. In the meantime my beloved White citizens, do not take to heart what the world says, and don't be ashamed of being called racists. I do not mind being called the architect and King of Apartheid. I shall not become a monkey simply because someone has called me a monkey. I will still remain your bright star... His Excellency Botha."
R.I.P Mugabe
 
1567866704099.jpeg


In Tanzania Tundu Lissu was shot in a broad day light apart of what is happening in South Africa.
 
Aisee, jamaa alikua sahihi sana,sisi black bado,twna bado saaaana,jitu linaiba bongo linaenda kuficha mijihela uswisi
 
Back
Top Bottom