Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Unakuta mtu anapata nafasi, badala ya kuboresha anakandamiza wa chiniAU hata bungeni kuna ma-TRAT mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuta mtu anapata nafasi, badala ya kuboresha anakandamiza wa chiniAU hata bungeni kuna ma-TRAT mengi
Na mkimhoji anakwambia hama nchi, tena uhamie BURUNDI ukafie huko..!!! TRAT yule alinikera sana na hii kauli ya ki-TRAT kabisaUnakuta mtu anapata nafasi, badala ya kuboresha anakandamiza wa chini
Mbona umeenda mbali sana? Jirani tu hapo afrika kusini waafrika wanauza na kupora mali za waafrika wenzao kisa sio wazawaYupo sahihi; mfano mzuri tu, watu weusi huko marekani ndio wanao uana sana
Warudi tu, waje watutawale tenaMbona umeenda mbali sana? Jirani tu hapo afrika kusini waafrika wanauza na kupora mali za waafrika wenzao kisa sio wazawa
TRUMP HAS SPOKEN AGAIN. JUST THE TRUTHBotha alikuwa mwanasiasa wa asili ya makaburu na waziri mkuu wa Afrika Kusini kati ya 1978 na 1984. Pia alikuwa raisi wa SA kati ya 1984 na 1989.
1. ENGLISH:
"If God wanted us to be equal to the Blacks, he would have created us all of a uniform colour and intellect. But he created us differently: Whites, Blacks, Yellow, Rulers and the ruled. Intellectually, we are superior to the Blacks; that has been proven beyond any reasonable doubt over the years"
KISWAHILI:
"Ikiwa Mungu angetaka tuwe sawa na Weusi, angetuumba sisi sote kwa rangi moja na akili. Lakini alituumba tofauti: Weupe, Weusi, Njano, Watawala na watawaliwa. Kiakili, sisi ni bora kuliko Weusi; ambayo imethibitishwa bila shaka yoyote kwa miaka mingi"
2: ENGLISH:
"By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other. They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex. Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty, mental inferiority, laziness and emotional incompetence. Isn’t it plausible, therefore that the White man is created to rule the Black man? "
KISWAHILI:
"Kwa sasa kila mmoja wetu ameona kwa vitendo kwamba Weusi hawawezi kujitawala wenyewe. Wape bunduki na watauana. Hawafai kitu kingine isipokuwa kufanya kelele, kucheza, kuoa wake wengi na kujiingiza katika ngono. Sote tukubali kwamba Mtu Mweusi ni ishara ya umaskini, uduni wa kiakili, uvivu na uzembe wa kihisia. Je, haikubaliki, kwa hivyo kwamba Mzungu ameumbwa kumtawala Mtu Mweusi? "
Huyu Mbwiga anapajua Doniesk na Luhansk?Wape bunduki na watauana.
Kwahiyo polygamism kwao ni tatizo kuu na pengine Ni miujiza. Uko Tayari kuendekeza ngono nje ya ndoa, na kusagana bila kusahau sodomism!I am very sad to agree with this and some of what we he said. Just llok at how many Bastards we have in Tanzania. Just look at how many polygamists we have in Tanzania, what for! Cruel but true!
1. see Sudan, Ethipoia, etc etc they are killing themselves because they have guns!Hajaacha kitu.No brains at all ona leo watu wamejazana airport kupokea ndege na perdiem kama zote hvi wanawezaje?Hta haya kdg hawana hawa watu?