Hotuba ya Raid Vladmir Putin kuidhinisha kura ya Maoni kutwaliwa kwa Donbass

Hotuba ya Raid Vladmir Putin kuidhinisha kura ya Maoni kutwaliwa kwa Donbass

Embu someni Mara tatu tatu hiyo hotuba.

Unaona kabisa anaongea kama Rais, Nabiii ,Mtu wa Mungu .


Huku kwetu tunachanganywa na Vumbi la mkongo, Supu ya pweza 😆
Dah!
Huku kwetu tena, kwani tupo mkuu 'Carlos The Jackal'?

Kwani mara hii unasahau jinsi tunavyojiuza kwa hao wanaosemwa hapo ili nasi tuingizwe kwenye himaya yao?

Mkuu wetu akitembelea huko, analialia apewe nafasi ya kukutana na kiongozi mkuu, ili nasi tutambulike kuwa tupo na hao wakubwa!
 
Huko Biden anatetemeka mwili wote umelowa jasho

Ni kweli mkuu, leo mimi nimecheka sana baada ya kubaini uoga pamoja na usanii wa Biden - yaani Biden anapo kuwa mbele ya media anajitutumua na kujaribu kutumtunishia misuli Putin kwa kujifanya yeye zaidi - cha ajabu Biden akiwa nyuma ya pazia anakwenda kuwabembeleza Viongozi wa Uchina,India,Korea na Iran kwamba wamusihi Putin chonde chonde hasije akatumia silaha za thermonuclear kwenye vita hii inayo endelea nchini Ukraine, nimeshangaa sana - just imagine juzi juzi hapa Biden alikuwa anatamba sana kwa kusema kwamba Putin akilogwa akajaribu kutumia silaha za nuklia huko Ukraine, basi kitakacho ipata Urusi kitawafanya wajute kuzaliwa - sasa suddenly lugha ya Biden imebadirika ameanza kuzungumza kustaarabu na kuwatuma watu kwenda kumbembeleza Putin ili yaishe, je, Biden kashtuka nini??
 
Screenshot_20221001-154052_Twitter.jpg
 
Hotuba yake imebeba ujumbe mzito kwa dunia.
Amenifurahisha sana sana! Kwa kitendo cha kuchukia Ushoga na Usagaji nimemkubali.
Naomba Mungu wa Mbinguni awe pamoja naye.
Ni Ukweli usiopingika kuwa Marekani sasa hivi ni Taifa la Kishetani,lengo lake ni kuitawala dunia harafu ilazimishe mataifa mengine kuruhusu Ushoga.
Kama dunia ipo inawezekana Putin ameinuliwa na Mungu kukomesha kiburi cha Marekani na Ulaya yote! Nimefurahia ujasiri alionao Putin,pamoja na kinachoendelea katika uwanja wa vita na kuharibiwa mabomba ya gesi,bado ana ujasiri kama Simba.
Ombi langu kwa Kanisa kabla hamjashabikia Vita mchukue muda kutafakari kwa nini hii vita imetokea?Ni kitu gani kinaenda kutokea baadaye? Russia inapinga ushoga,Ukraine kwa kutumiwa na Marekani inaunga mkono ushoga,vipi hapo?Tafakari vizuri sana!
BARIKIWA SANA PUTIN.
 
Ushoga na usagaji unahusiana vipi na uvamizi wake huko Ukraine??!
Hotuba yake imebeba ujumbe mzito kwa dunia.
Amenifurahisha sana sana! Kwa kitendo cha kuchukia Ushoga na Usagaji nimemkubali.
Naomba Mungu wa Mbinguni awe pamoja naye.
Ni Ukweli usiopingika kuwa Marekani sasa hivi ni Taifa la Kishetani,lengo lake ni kuitawala dunia harafu ilazimishe mataifa mengine kuruhusu Ushoga.
Kama dunia ipo inawezekana Putin ameinuliwa na Mungu kukomesha kiburi cha Marekani na Ulaya yote! Nimefurahia ujasiri alionao Putin,pamoja na kinachoendelea katika uwanja wa vita na kuharibiwa mabomba ya gesi,bado ana ujasiri kama Simba.
 
Back
Top Bottom