LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,006
- 14,536
Halafu ati msi mpe urais mtu asie jua nondo.. Kwamba Ikulu kuna endwa kutumia nondoAkili yako imeishia hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ati msi mpe urais mtu asie jua nondo.. Kwamba Ikulu kuna endwa kutumia nondoAkili yako imeishia hapo
Hicho ni kipaumbele chako ila sio magufuli,kwasasa ndo nafas yk mwache azungumze na we ikifika zamu yk utajimwaga kwan we kinauma au?Sera za kilimo, afya, biashara, elimu nk.
Hii ndiyo sababu ya kura kwenda kwa LissuHicho ni kipaumbele chako ila sio magufuli,kwasasa ndo nafas yk mwache azungumze na we ikifika zamu yk utajimwaga kwan we kinauma au?
Akili yako imeishia hapo
Hotuba ya kinyampara tuAma kweli Rias Magufuli ana kiburi.
Haiingii akilini anakuja na mipango ambayo kwa namna moja ama nyingine, kwa kiongozi wa nchi ni mipango ya upande mmoja. Alishindwa kuweka mzani wa alipotoka na vitu vyake vs watu aliowaongoza ili ajue afanye nini. Kushindwa kufanya hivyo ni tafsiri kuwa yeye ndiye mpangaji na ni lazima watu wafuate. Kwanza hii tabia amekuwa nayo kwa miaka mitano iliyopita. Kinachonishangaza ni yeye kuonyesha waziwazi kuwa mwendo ni uleule kwa miaka mitano ama zaidi ijayo. Hii ni hatari sana hasa ukizingatia ishara ambazo zimeanza kujitokeza za kulazimisha ushindi.
Hotuba nzima ya Rias Magufuli imejikita katika kununua ndege na kuongeza kipande cha reli ya kisasa kutoka Dodoma hadi Isaka-Makutopora.
Tuwe wakweli, Rais alipora haki muhimu za wafanyakazi kwa miaka mitano iliyopita na kubebesha mzigo mzito wa kodi kwa watanzania masikini ili kugharamia miradi ambayo mingi ni kama analazimisha ikamilike ndani ya muda mfupi huku akijua athari zake. Kwa jana alipaswa japo kuongea jambo jipya kwa watanzania ambalo linagusa maisha yao moja kwa moja ili ajadiliwe vinywani mwao. Amefeli kabla ya safari ya kampeni.
Mradi wa SGR kwa hesabu zangu mpaka ufike Isaka itagharimu si chini ya trilioni 8. Kwa awamu ya miaka mitano iliyopita mradi umeelea elea tu vipande hadi Morogoro na amefanikiwa tu kulipa trilioni 1.2
Hali hii inanifanya niamini kuwa mabavu anayotumia Magufuli kwenye huu uchaguzi ni ili apate wabunge wote wa CCM na yeye ashinde ili mradi huu ambao nina uhakika ili ukamilike kutoka tarehe ha leo hautachukua chini ya miaka 8! (Ana mpango wa kuongeza muda? Ana mpango wa kupendekeza kodi kandamizi zaidi ili apate fedha?)
Hayo ni yenu watanzania ila kiukweli ukitoka kwako tarehe 28 kwa nia ya kumpigia Rais Magufuli kura basi ni sawa na mtu umetoka kwako na kamba kwa lengo la kuingia porini ili ukajinyonge ufe!
Sisi hapa leo tutaonekana tunapiga porojo ila kiukweli kwa mambo aliyofanya Magufuli basi ukimpigia jura ni aibu juu ha nafsi yako! Nyie sikilizeni wasanii na baadhi ya wafuasi wake ambao wamejitoa kumeza akili za watu ila mjue wanafanya hivyo kwa maslahi yao! Sisi tulimpinga Magufuli mwanzoni kabisa mwa utawala wake kwakuwa tunamjua vyema! Tunaijua akili yake!
Umemuelewa?Kwa akili zako finyu ulisikia wapi waziri anagombea .poor you
USSR
Kilimo lumefanyika nini kiseme wewe ulichokionaMnaongea as if vitu vingine vimesimama, yaan Kama vile kwenye sekta nyingine hakuna vitu vinavyofanyika. Hivi ni kweli kwamba kwenye sekta ya afya, Kilimo, elimu, maji, na zingine ukiachana na sekta ya miundombinu mawasiliano na uchukuzi hakuna kilichofanyika Kabisa?? Halfu mnaposema kodi wamebebeshwa maskini ni maskini wapi hao?? Je hamtaki watu walipe kodi??
Lissu ndiye mgombea Urais tunamsikiliza yeye.Kuzindua kampeni huwa ni Kuzindua Ilani, baada ya hapo, ni siasa, naona Chadema pia imefanya kuhutubia ilani kule Kawe hivyo hotuba ya Chadema ya kawe ilikuwa ya chama lakini kule mbagala ilikuwa ya Lisu.
Sikatai una ndoto wewHii ndiyo sababu ya kura kwenda kwa Lissu
""""Ongeza sauti kidogo"""Ama kweli Rias Magufuli ana kiburi.
Haiingii akilini anakuja na mipango ambayo kwa namna moja ama nyingine, kwa kiongozi wa nchi ni mipango ya upande mmoja. Alishindwa kuweka mzani wa alipotoka na vitu vyake vs watu aliowaongoza ili ajue afanye nini. Kushindwa kufanya hivyo ni tafsiri kuwa yeye ndiye mpangaji na ni lazima watu wafuate.
Kwanza hii tabia amekuwa nayo kwa miaka mitano iliyopita. Kinachonishangaza ni yeye kuonyesha waziwazi kuwa mwendo ni uleule kwa miaka mitano ama zaidi ijayo. Hii ni hatari sana hasa ukizingatia ishara ambazo zimeanza kujitokeza za kulazimisha ushindi.
Hotuba nzima ya Rias Magufuli imejikita katika kununua ndege na kuongeza kipande cha reli ya kisasa kutoka Dodoma hadi Isaka-Makutopora.
Tuwe wakweli, Rais alipora haki muhimu za wafanyakazi kwa miaka mitano iliyopita na kubebesha mzigo mzito wa kodi kwa watanzania masikini ili kugharamia miradi ambayo mingi ni kama analazimisha ikamilike ndani ya muda mfupi huku akijua athari zake. Kwa jana alipaswa japo kuongea jambo jipya kwa watanzania ambalo linagusa maisha yao moja kwa moja ili ajadiliwe vinywani mwao. Amefeli kabla ya safari ya kampeni.
Mradi wa SGR kwa hesabu zangu mpaka ufike Isaka itagharimu si chini ya trilioni 8. Kwa awamu ya miaka mitano iliyopita mradi umeelea elea tu vipande hadi Morogoro na amefanikiwa tu kulipa trilioni 1.2
Hali hii inanifanya niamini kuwa mabavu anayotumia Magufuli kwenye huu uchaguzi ni ili apate wabunge wote wa CCM na yeye ashinde ili mradi huu ambao nina uhakika ili ukamilike kutoka tarehe ha leo hautachukua chini ya miaka 8! (Ana mpango wa kuongeza muda? Ana mpango wa kupendekeza kodi kandamizi zaidi ili apate fedha?)
Hayo ni yenu watanzania ila kiukweli ukitoka kwako tarehe 28 kwa nia ya kumpigia Rais Magufuli kura basi ni sawa na mtu umetoka kwako na kamba kwa lengo la kuingia porini ili ukajinyonge ufe!
Sisi hapa leo tutaonekana tunapiga porojo ila kiukweli kwa mambo aliyofanya Magufuli basi ukimpigia jura ni aibu juu ha nafsi yako! Nyie sikilizeni wasanii na baadhi ya wafuasi wake ambao wamejitoa kumeza akili za watu ila mjue wanafanya hivyo kwa maslahi yao! Sisi tulimpinga Magufuli mwanzoni kabisa mwa utawala wake kwakuwa tunamjua vyema! Tunaijua akili yake!
Ama kweli Rias Magufuli ana kiburi.
Haiingii akilini anakuja na mipango ambayo kwa namna moja ama nyingine, kwa kiongozi wa nchi ni mipango ya upande mmoja. Alishindwa kuweka mzani wa alipotoka na vitu vyake vs watu aliowaongoza ili ajue afanye nini. Kushindwa kufanya hivyo ni tafsiri kuwa yeye ndiye mpangaji na ni lazima watu wafuate.
Kwanza hii tabia amekuwa nayo kwa miaka mitano iliyopita. Kinachonishangaza ni yeye kuonyesha waziwazi kuwa mwendo ni uleule kwa miaka mitano ama zaidi ijayo. Hii ni hatari sana hasa ukizingatia ishara ambazo zimeanza kujitokeza za kulazimisha ushindi.
Hotuba nzima ya Rias Magufuli imejikita katika kununua ndege na kuongeza kipande cha reli ya kisasa kutoka Dodoma hadi Isaka-Makutopora.
Tuwe wakweli, Rais alipora haki muhimu za wafanyakazi kwa miaka mitano iliyopita na kubebesha mzigo mzito wa kodi kwa watanzania masikini ili kugharamia miradi ambayo mingi ni kama analazimisha ikamilike ndani ya muda mfupi huku akijua athari zake. Kwa jana alipaswa japo kuongea jambo jipya kwa watanzania ambalo linagusa maisha yao moja kwa moja ili ajadiliwe vinywani mwao. Amefeli kabla ya safari ya kampeni.
Mradi wa SGR kwa hesabu zangu mpaka ufike Isaka itagharimu si chini ya trilioni 8. Kwa awamu ya miaka mitano iliyopita mradi umeelea elea tu vipande hadi Morogoro na amefanikiwa tu kulipa trilioni 1.2
Hali hii inanifanya niamini kuwa mabavu anayotumia Magufuli kwenye huu uchaguzi ni ili apate wabunge wote wa CCM na yeye ashinde ili mradi huu ambao nina uhakika ili ukamilike kutoka tarehe ha leo hautachukua chini ya miaka 8! (Ana mpango wa kuongeza muda? Ana mpango wa kupendekeza kodi kandamizi zaidi ili apate fedha?)
Hayo ni yenu watanzania ila kiukweli ukitoka kwako tarehe 28 kwa nia ya kumpigia Rais Magufuli kura basi ni sawa na mtu umetoka kwako na kamba kwa lengo la kuingia porini ili ukajinyonge ufe!
Sisi hapa leo tutaonekana tunapiga porojo ila kiukweli kwa mambo aliyofanya Magufuli basi ukimpigia jura ni aibu juu ha nafsi yako! Nyie sikilizeni wasanii na baadhi ya wafuasi wake ambao wamejitoa kumeza akili za watu ila mjue wanafanya hivyo kwa maslahi yao! Sisi tulimpinga Magufuli mwanzoni kabisa mwa utawala wake kwakuwa tunamjua vyema! Tunaijua akili yake!
Magufuli ni kama Farao anayejenga mapiramidi makubwa kwa nguvu za watumwa, ili apate fahari kwambabyeye ndiye farao aliyejenga mapiramidi hayo, bila hao watumwa kufaidika na hayo mapiramidi.Ama kweli Rias Magufuli ana kiburi.
Haiingii akilini anakuja na mipango ambayo kwa namna moja ama nyingine, kwa kiongozi wa nchi ni mipango ya upande mmoja. Alishindwa kuweka mzani wa alipotoka na vitu vyake vs watu aliowaongoza ili ajue afanye nini. Kushindwa kufanya hivyo ni tafsiri kuwa yeye ndiye mpangaji na ni lazima watu wafuate.
Kwanza hii tabia amekuwa nayo kwa miaka mitano iliyopita. Kinachonishangaza ni yeye kuonyesha waziwazi kuwa mwendo ni uleule kwa miaka mitano ama zaidi ijayo. Hii ni hatari sana hasa ukizingatia ishara ambazo zimeanza kujitokeza za kulazimisha ushindi.
Hotuba nzima ya Rias Magufuli imejikita katika kununua ndege na kuongeza kipande cha reli ya kisasa kutoka Dodoma hadi Isaka-Makutopora.
Tuwe wakweli, Rais alipora haki muhimu za wafanyakazi kwa miaka mitano iliyopita na kubebesha mzigo mzito wa kodi kwa watanzania masikini ili kugharamia miradi ambayo mingi ni kama analazimisha ikamilike ndani ya muda mfupi huku akijua athari zake. Kwa jana alipaswa japo kuongea jambo jipya kwa watanzania ambalo linagusa maisha yao moja kwa moja ili ajadiliwe vinywani mwao. Amefeli kabla ya safari ya kampeni.
Mradi wa SGR kwa hesabu zangu mpaka ufike Isaka itagharimu si chini ya trilioni 8. Kwa awamu ya miaka mitano iliyopita mradi umeelea elea tu vipande hadi Morogoro na amefanikiwa tu kulipa trilioni 1.2
Hali hii inanifanya niamini kuwa mabavu anayotumia Magufuli kwenye huu uchaguzi ni ili apate wabunge wote wa CCM na yeye ashinde ili mradi huu ambao nina uhakika ili ukamilike kutoka tarehe ha leo hautachukua chini ya miaka 8! (Ana mpango wa kuongeza muda? Ana mpango wa kupendekeza kodi kandamizi zaidi ili apate fedha?)
Hayo ni yenu watanzania ila kiukweli ukitoka kwako tarehe 28 kwa nia ya kumpigia Rais Magufuli kura basi ni sawa na mtu umetoka kwako na kamba kwa lengo la kuingia porini ili ukajinyonge ufe!
Sisi hapa leo tutaonekana tunapiga porojo ila kiukweli kwa mambo aliyofanya Magufuli basi ukimpigia jura ni aibu juu ha nafsi yako! Nyie sikilizeni wasanii na baadhi ya wafuasi wake ambao wamejitoa kumeza akili za watu ila mjue wanafanya hivyo kwa maslahi yao! Sisi tulimpinga Magufuli mwanzoni kabisa mwa utawala wake kwakuwa tunamjua vyema! Tunaijua akili yake!
Elfu 20 ya wamachinga kwa mwaka ni uwizi wa mchana kweupe na hiyo kodi hata haitambuliki kisheriaMnaongea as if vitu vingine vimesimama, yaan Kama vile kwenye sekta nyingine hakuna vitu vinavyofanyika. Hivi ni kweli kwamba kwenye sekta ya afya, Kilimo, elimu, maji, na zingine ukiachana na sekta ya miundombinu mawasiliano na uchukuzi hakuna kilichofanyika Kabisa?? Halfu mnaposema kodi wamebebeshwa maskini ni maskini wapi hao?? Je hamtaki watu walipe kodi??