Hotuba ya Rais Magufuli haikuwa hotuba ya Mgombea Urais, ilikuwa Hotuba ya Mgombea Uwaziri wa Miundombinu. Imekosa mvuto mpaka mwisho

Ila yule anaelazimisha kushambuliwa kwake watanzania wamuhurumie uraisi, hotuba yake ni safiiii.
 
Sekta ya afya hajafanya kitu, sekta ya elimu hajafanya kitu, sekta kilimo hakuna chochote...yaani ufipa bwana, akili kisoda. Unadhani serikali inaendeshwa one-dimensional? Lissu anakuja na maendeleo ya watu, maendeleo ya watu bila vitu? Hata Mungu hakuanza kuumba mtu, alianza na mazingira atakayoishi mtu ndio akamalizia na mtu.
 
Sio kazi ya serikali kununua madege ya abiria na mizigo.
Madege ya kivita ni sawa.
Na hapo ndipo tofauti ilipo...
 
Mawazo yako mfu na nahisi funza wameshatafuna kila kitu katika ubongo wako. Lakini ndio Uhuru wenyewe huo.!

Wewe Kama umeshapata kijinafasi Cha kukuwezesha kubadilisha mboga hapo kwako Basi usiwazungumzie watanzania wengine waliopo wilayani na vijijini au hata town.

Huyu Magufuli Ni Rais wa Tanzania nzima na majority hawana uwezo wa kuafford hiyo unayooita kilo tano ya sukari,sembuse kilo moja.
Magufuli anataka kutengeneza gap kubwa Sana ya walionacho na wasionacho yaani wananchi wake watopee kwenye umasikini huku Yeye na familia yake wakineemeka na mema ya nchi.
Hatuwezi kuishi kama kibera.!
 
Hiyo one-dimension ndiyo anayoiapply huyo bwana wako, ndege ndege ,Hana jipya mawazo yalishazikwa na unduli wake.
 
una hasira sana na mtu ambaye hana makosa kwenye maisha yako.

ungeyakasirikia maisha namna hii, ungekuwa na furaha tu na watu wengine.
 

..katika maeneo yote uliyoyataja anatakiwa aeleze amefanya nini ktk awamu ya kwanza, halafu aeleze atafanya nini ktk awamu yake ya pili.

..sasa hapo ndipo mgogoro unapokuja, kwamba rekodi yake ya kushughulikia mambo hayo siyo nzuri, hivyo haitoi imani kwa wapiga kura kumpa nafasi nyingine.

..Uchaguzi huu ni bora kuchagua wapinzani, ili tupate aina mpya ya viongozi, na kutuma ujumbe wa watawala wote kwamba wananchi ndio wenye mamlaka ya mwisho nchi hii.
 
Sawa basi... Kwenye hotuba ijayo tutamshauri akuahidi kumletea mkeo taulo za kike bure maana kidume umeshindwa kazi hiyo.. I hope hili litakufurahisha sana!
 
Sio kazi ya serikali kununua madege ya abiria na mizigo.
Madege ya kivita ni sawa.
Na hapo ndipo tofauti ilipo...
Hahahahaha kwa nini Ndege za vita iwe sawa?????Chadema bhana but najua wengi wa wapenzi wa Lissu ni wale wanaomchukia JPM kama JPM so hawana option zaidi ya kumpenda Lissu
 
una hasira sana na mtu ambaye hana makosa kwenye maisha yako.

ungeyakasirikia maisha namna hii, ungekuwa na furaha tu na watu wengine.
Itoshe kusema Magu Hana jipya zaidi ya kujitengenezea empire ale mema na ndugu zake, na siku akigusa hicho unachodhani wewe kinakufurahisha katika maisha yako utaomba hallelujah kuu.
 
Akili yako imeishia hapo
Ni kawaida ya viongozi wengi ambao kuwepo madarakani kwao hakutegemei sanduku la kura!!!, siku zote huwa wanakuwa na jeuri tu!!!! Hata aseme zamu hii nitawabuluza kweli kweli!! Cha ajabu Watu watashangilia kweli kweli!! Kuwa huyu ndio mwaume kweli!! Jamani wasomi kuna sehemu nzuri ya kufanyia utafiti huku(uwezo wa akili ya mtz) kama sio mwafrika kabisa!!!
 
Kabisa
 
Naona wa kurudisha nchi hii kwenye misingi yake ni jeshi tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…