kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Imejaa mambo mengi sana ya kutimiza kwa miaka 5. Inatia mashaka kuwa huenda akaanzisha miradi mingi sana itakayolazimu aongezwe muda ili aikamilishe mwenyewe vizuri na kwa ubora kama alivyokusudia.
Ningetamani kama angejikita kwenye umalizaji wa reli, bwawa la umeme, uchimbaji wa chuma na makaa ya mawe na ununuzi wa meli za uvuvi kina kirefu tu.
Ningetamani kama angesema kwa miaka 5 ijayo Gesi yetu itatumika kuendesha magari yooote madogo ya majiji makubwa ili kuokoa pesa tunazonunulia mafuta.
Ningetamani kusikia watu wa Nyumbu kwa kushirikiana na UDSM, VETA, TIRDO, COSTECH wanashirikiana kutegeneza/kuunda mashine za kilimo kama matrekta ya bei nafuu kwa wakulima.
Anamaliza kaabiisa shida ya umeme na maji vijiji vyooote nchini 100% iliyodumu tangu wakati wa mkoloni.
Twende kidogokidogo bila kuumiza sana sehemu nyingine.
Ningetamani kama angejikita kwenye umalizaji wa reli, bwawa la umeme, uchimbaji wa chuma na makaa ya mawe na ununuzi wa meli za uvuvi kina kirefu tu.
Ningetamani kama angesema kwa miaka 5 ijayo Gesi yetu itatumika kuendesha magari yooote madogo ya majiji makubwa ili kuokoa pesa tunazonunulia mafuta.
Ningetamani kusikia watu wa Nyumbu kwa kushirikiana na UDSM, VETA, TIRDO, COSTECH wanashirikiana kutegeneza/kuunda mashine za kilimo kama matrekta ya bei nafuu kwa wakulima.
Anamaliza kaabiisa shida ya umeme na maji vijiji vyooote nchini 100% iliyodumu tangu wakati wa mkoloni.
Twende kidogokidogo bila kuumiza sana sehemu nyingine.