Hotuba ya Rais Rais Bunge la 12 ni nzuri lakini sikuipenda

Hotuba ya Rais Rais Bunge la 12 ni nzuri lakini sikuipenda

Kwa nini umsikilize sana mtu ambaye anaweza kutekeleza ambayo hajaahidi na yale ambayo ameahidi asiyatekeleze, akafanya vitu kwa jinsi anavyojisikia alivyoamka siku hiyo?

Mtu katoka kuiba kura mpaka kipofu anaona, halafu anaongelea utawala bora na demokrasia.

Unamsikiliza ili iweje?
Sure
 
Sijawahi kuona nchi imeendelea bila elimu na teknolojia yahali yajuu. Kwakweli hajaeleza ataiboreshaje elimu, hajaweka wazi serikali itainuaje kilimo chakisasa chaumwagiliaji kwa nguvu,haongei mbegu na mifugo yakisasa.

Hataji atavyosapoti tafiti na taasisi za tafiti mbalimbali nchini, anaeleza ataitunza amani bila kueleza haki zitakavyotimilizwa,haelezi gesi yetu itatusaidiaje,hasemi mbinu kuzuia magonjwa Bali kujenga Hosp. na kununua madawa,hajaweka wazi atavyoboresha maisha ya watu,ajira zitavyopatikana hasemi anataja tuu idadi yakusadikika.

Anaongea kujenga mameli,mabarabara kununua madege treni namavituvitu mmmno vinavyotoa hela kwenda nje ya mzungukk nchini bila kueleza tutajizatiti kuexport kitugani!

Binafsi sijaisapoti hotuba ile kwenye mia ningeipa 35 yaani D (dhaifu)
Wakati anaongelea technical schools za Arusha na Mwanza ulikuwa umelala?
Wakati anaongelea kuimarisha tahasisi za utafiti ulikuwa wapi?
Huo uvuvu wa bahati ya hindi ni kwa manufaa ya nani?
Ebu tuvute subira, mazuri yanakuja
 
HAKUNA LITAKALO TIMIA HATA MOJA WALA LENYE FAIDA HATA MOJA.

Hotuba imajaa ahadi za uongo.
Imejaa kujipendekeza.
Iejaa mambo yasiyoweza kutimilizwa hata siku moja.

JAMAA NI MUONGO SANA USIMUAMINI HATA KIDOGO.
tanzania ya viwanda
 
Hata mimi nikisikiliza lakini, sidhani kama ataweza kutimiza hata asilimia 20 aliyeyasema. Kwa ufupi alikuwa anawalisha watu wishful thinking
 
Mbunge awe billionea, je, rais awe nani?
Rais alikwisha kuwa billionea muhula wa kwanza wa miaka 5 hata akawa anazunguka na mabulungutu ya fedha akiwagawia maswaiba wake, katika muhula wa pili Wabunge wakiwa billionea yeye atakuwa trillionea bila zile trillion 1.5 za muhula wa kwanza. Inalipa kuwa Rais ndo maana kila mbinu chafu inatumika kufika hapo!
 
Haya yote unayoyasema yako kwenye hotuba. Isome vizuri ndugu.Ameeleza mpaka specialization itakayokuwepo kwa baadhi ya Taasisi zetu za elimu ya juu na technology
Sijawahiunayoyasema yako na nchi imeendelea bila elimu na teknolojia yahali yajuu. Kwakweli hajaeleza ataiboreshaje elimu, hajaweka wazi serikali itainuaje kilimo chakisasa chaumwagiliaji kwa nguvu,haongei mbegu na mifugo yakisasa.

Hataji atavyosapoti tafiti na taasisi za tafiti mbalimbali nchini, anaeleza ataitunza amani bila kueleza haki zitakavyotimilizwa,haelezi gesi yetu itatusaidiaje,hasemi mbinu kuzuia magonjwa Bali kujenga Hosp. na kununua madawa,hajaweka wazi atavyoboresha maisha ya watu,ajira zitavyopatikana hasemi anataja tuu idadi yakusadikika.

Anaongea kujenga mameli,mabarabara kununua madege treni namavituvitu mmmno vinavyotoa hela kwenda nje ya mzungukk nchini bila kueleza tutajizatiti kuexport kitugani!

Binafsi sijaisapoti hotuba ile kwenye mia ningeipa 35 yaani D (dhaifu)
 
Sijawahi kuona nchi imeendelea bila elimu na teknolojia yahali yajuu. Kwakweli hajaeleza ataiboreshaje elimu, hajaweka wazi serikali itainuaje kilimo chakisasa chaumwagiliaji kwa nguvu,haongei mbegu na mifugo yakisasa.

Hataji atavyosapoti tafiti na taasisi za tafiti mbalimbali nchini, anaeleza ataitunza amani bila kueleza haki zitakavyotimilizwa,haelezi gesi yetu itatusaidiaje,hasemi mbinu kuzuia magonjwa Bali kujenga Hosp. na kununua madawa,hajaweka wazi atavyoboresha maisha ya watu,ajira zitavyopatikana hasemi anataja tuu idadi yakusadikika.

Anaongea kujenga mameli,mabarabara kununua madege treni namavituvitu mmmno vinavyotoa hela kwenda nje ya mzungukk nchini bila kueleza tutajizatiti kuexport kitugani!

Binafsi sijaisapoti hotuba ile kwenye mia ningeipa 35 yaani D (dhaifu)

Umewahi ona wapi mkomunisti yeyeto duniani amewahi leta maendeleo ya watu
 
Usijali sana,Yale yatakayoweza kufanyika yatafanyika na yatakayo baki atakuja kuyaendeleza atakae kuja mpokea Magufuli tuombe uhai Maisha ni mipango na kupanga ni kuchagua! Hata wwe hapo kichwani mwako unamipango mingi sana ,sema unasubiri upate ma fedha tu tuanze kuwona mipango yako iliyokua kichwani ukiitimiza!!
Mmh?jiwe hatoki hapo mpakakifo.yani umauti ndio utamtanisha.naurasi
 
Wakati anaongelea technical schools za Arusha na Mwanza ulikuwa umelala?
Wakati anaongelea kuimarisha tahasisi za utafiti ulikuwa wapi?
Huo uvuvu wa bahati ya hindi ni kwa manufaa ya nani?
Ebu tuvute subira, mazuri yanakuja
Wanazi hamuwezi kuelewa tujiandae na maisha magumu kuliko
 
Uhodari uko kwenye kusikiliza sio kuongea. Sikiliza zaidi kukiko kuongea, soma zaidi ya wengine kuliko kuandika ya kwako
Tabligh wana msemo wao kwamba "hakuna pepo kwa mzungumzaji wala hakuna pepo kwa msikilizaji bali kuna pepo kwa mtekelezaji"
 
Kil siku vituo vya afya 400+, ndege kubwa ya mizigo, kutumbuatumbua, bwawa la Nyerere, SGR.....sasa inatosha jamani tunataka kusikia mipango mipya .... Wakati wa kampeni yaleyale, uzinduzi wa Bunge yaleyale, kesho kutwa akiapishwa mawaziri atarudia tena..... Too much is harmful....... It becomes monotonous.

Mkuu sasa akae hata week asiongee maana kila kwa miaka yote mitano zaidi ya siku 1825 ameongea hayo hayo........
 
Tunanunua ndege tano moja ya mizigo hii ndio ahadi yake kubwa atakayoweza kuikamilisha
 
Hizo zinaitwa "Traditional speech"...

Yaani kwa kuwa tradition inataka ahutubie bunge, basi nothing more than that.....ni kuhutubia tu..!

Lakini mambo yanabaki vilevile "business as usual"..

Magufuli hawezi kufanya tofauti na waliomtangulia. Ni wale wale, and he's even worse...
 
Kujenga kujenga kujenga kujenga tyuuu! Kama tehama ingeimarishwa vema hadi ngazi ya wilaya kuhamia dodoma isingekuwa kipaumbele kwa sasa. Does not add any value to our economy, democracy or social services
Mkuu, kuna phyisical meeting to headquarters where we spend a lot of fuels, from far ponts like Bukoba, Kigoma kwa sasa zimepungua kwa kuwa dodoma ni katikati. India, Malaysia, Nigeria, Africa Kusini nk TEHAMA iko vizuri lakini pia zimetenganisha mji wa Biashara, Serikali na Bunge. Nadhani tusipinge kila kitu, Dodoma ni sehemu ya Jamhuri ya muungano na Tanzania na ipo katika ya Nchi!
 
Back
Top Bottom