Hotuba ya Rais Samia akiapisha Mawaziri, imejibu maswali yote kwa Balozi Mulamula

Hotuba ya Rais Samia akiapisha Mawaziri, imejibu maswali yote kwa Balozi Mulamula

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Wengi tumejiuliza kilichomsibu balozi Mulamula. Ukisikiliza kwa makini hutuba ya Rais Samia utujua kuwa Waziri Mulamula alipishana na Rais kuhusu masuala ya upande wa pili wa Muungano.

Zimekuwepo minong'ono yenye ushahidi kuwa awamu ya sita imekuwa ikiwapendelea Wazanzibari kuliko maelezo. Maofisa wengi wa Kitanganyika katika Balozi nyingi wameondolewa na nafasi zao kushikwa na Wazanzibari hasa wenye uhusiano wa karibu na mamlaka.

Mama Mulamula akiwa Mhaya anayejiamini kuna kila dalili kuwa alikataa ukondoo na udikteta.

Huenda upendeleo uliopitiliza kwa Wazanzibari unaweza kuvuruga Muungano.
 
Samia aache kudeal na wanaofanya kazi vizuri. Kuna mawaziri na manaibu waziri ni mizigo na hakuna lofoten wanalofanya lenye maana kwenye sekta zao zaidi ya kujipendekeza tu. Angedeal nao hao badala ya kudeal na haha experienced na at least wanaonesha uwezo
 
Mama hahitaji wachapakazi bali wanaomuunga mkono hata kama ni wazembe!!

Ndio màana ukijifanya kiherehere wa kufanya KAZI Sana za wananchi na kuonekana tu automatic unataka kumfunika inapigwa chini!!

Wateule wamwelewe mama!!
 
Wengi tumejiuliza kilichomsibu balozi Mulamula. Ukisikiliza kwa makini hutuba ya Samia utujua kuwa Waziri Mulamula akipishana na Rais kuhusu masuala ya upande wa pili wa Muungano...
Hebu saidia jukwaa hapa; weka hiyo orodha ya Watanzania Zanzibar waliojazwa ktk balozi zetu nje na balozi zipi? (Tuwe scientific, tueleze hoja kwa evidence).

2. Mzanzibari hana haki za kikatiba kufanya baadhi ya kazi zilizopo ktk orodha ya mambo ya Muungano?

3. Cheo ni dhamana. (Soma history ya Mzee Msuya, Malecela, Kawawa uone walivyopanda na kushuka).
🙏🙏🙏
 
Hizi mbegu za Utanganyika na Uzenji zife, dunia inaungana kwa ajilibya kupata nguvu kupitia umoja , Afrika tunabaguana na kupendeleana. Tufuate sheria. Ifike sehemu hata kama ulikuwa mjumbe wa nyumba 10 lkn ukatunia madaraka vibaya ukitoka TUKUSHTAKI kama kufungwa ufungwe tu ikionekana ulitumia madaraka vibaya
 
Wengi tumejiuliza kilichomsibu balozi Mulamula. Ukisikiliza kwa makini hutuba ya Samia utujua kuwa Waziri Mulamula akipishana na Rais kuhusu masuala ya upande wa pili wa Muungano.

Zimekuwepo minong'ono yenye ushahidi kuwa awamu ya sita imekuwa ikiwapendelea Wazanzibari kuliko maelezo. Maofisa wengi wa Kitanganyika katika Balozi nyingi wameondolewa na nafasi zao kushikwa na Wazanzibari hasa wenye uhusiano wa karibu na mamlaka.

Mama Mulamula akiwa Mhaya anayejiamini kuna kila dalili kuwa alikataa ukondoo na udikteta.

Huenda upendeleo uliopitiliza kwa Wazanzibari unaweza kuvuruga Muungano.
Huu muungano fake uvunjwe haraka sn
 
Hebu saidia jukwaa hapa; weka hiyo orodha ya Watanzania Zanzibar waliojazwa ktk balozi zetu nje na balozi zipi? (Tuwe scientific, tueleze hoja kwa evidence)...
Mzanzibari mkiguswa mnakuwa mbogo
 
Samia aache kudeal na wanaofanya kazi vizuri. Kuna mawaziri na manaibu waziri ni mizigo na hakuna lofoten wanalofanya lenye maana kwenye sekta zao zaidi ya kujipendekeza tu. Angedeal nao hao badala ya kudeal na haha experienced na at least wanaonesha uwezo
Yeye anataka akina Makamba, Masauni na Aweso waislamu wenzake wanamsifia vizuri
 
Hizi mbegu za Utanganyika na Uzenji zife
Haziwezi kufa nadhani, mtanganyika hana haki na ardhi ya visiwani, Mvisiwani anajitwalia popote atakapo bara!

Upendeleo uliopo sasa ni zaidi ya uvamizi wa Russia kwa Ukraine; Raisi ni mvisiwani, kimkataba, Makamu wake pia ni Mvisiwani! Kisha Visiwani wana raisi wao, Katiba yao, Bendera yao, Nyimbo yao!
 
Zimekuwepo minong'ono yenye ushahidi kuwa awamu ya sita imekuwa ikiwapendelea Wazanzibari kuliko maelezo. Maofisa wengi wa Kitanganyika katika Balozi nyingi wameondolewa na nafasi zao kushikwa na Wazanzibari hasa wenye uhusiano wa karibu na mamlaka.
Ukiondoa Balozi ambaye ni mteule wa Rais; hata maofisa wengine pia chini ya balozi husika huwa wanateuliwa na Rais?
 
Back
Top Bottom