Hotuba ya Rais Samia akiapisha Mawaziri, imejibu maswali yote kwa Balozi Mulamula

Hotuba ya Rais Samia akiapisha Mawaziri, imejibu maswali yote kwa Balozi Mulamula

Hizi mbegu za Utanganyika na Uzenji zife, dunia inaungana kwa ajilibya kupata nguvu kupitia umoja , Afrika tunabaguana na kupendeleana. Tufuate sheria. Ifike sehemu hata kama ulikuwa mjumbe wa nyumba 10 lkn ukatunia madaraka vibaya ukitoka TUKUSHTAKI kama kufungwa ufungwe tu ikionekana ulitumia madaraka vibaya
Tatizo sio Muungano Bali aina ya Muungano!

Kwamfano huku Bara kuna tozo je zenji tozo zipo!!?
 
Haziwezi kufa nadhani, mtanganyika hana haki na ardhi ya visiwani, Mvisiwani anajitwalia popote atakapo bara!

Upendeleo uliopo sasa ni zaidi ya uvamizi wa Russia kwa Ukraine; Raisi ni mvisiwani, kimkataba, Makamu wake pia ni Mvisiwani! Kisha Visiwani wana raisi wao, Katiba yao, Bendera yao, Nyimbo yao!
Kama kuna marekebisho yafanyiwe kazi hii kukaa kwenye viti halafu sisi wote Tz tinanyosheana vidole haifai mbegu za chuki zinapandwa kama vipi iwe kila raia ana uhuru kokote basi
 
Samia aache kudeal na wanaofanya kazi vizuri. Kuna mawaziri na manaibu waziri ni mizigo na hakuna lofoten wanalofanya lenye maana kwenye sekta zao zaidi ya kujipendekeza tu. Angedeal nao hao badala ya kudeal na haha experienced na at least wanaonesha uwezo
Hujui Tanzania wewe. Vyeo havitolewi kwa kufuata uchapakazi. Ukijifanya una akili kama za mnyama nyumbu hutakaa utumbuliwe hata siku moja.
 
Hebu saidia jukwaa hapa; weka hiyo orodha ya Watanzania Zanzibar waliojazwa ktk balozi zetu nje na balozi zipi? (Tuwe scientific, tueleze hoja kwa evidence).

2. Mzanzibari hana haki za kikatiba kufanya baadhi ya kazi zilizopo ktk orodha ya mambo ya Muungano?

3. Cheo ni dhamana. (Soma history ya Mzee Msuya, Malecela, Kawawa uone walivyopanda na kushuka).
🙏🙏🙏
Kuna asilimia wanatakiwa wasizidi
 
Back
Top Bottom