Hotuba ya Rais Samia akiapisha Mawaziri, imejibu maswali yote kwa Balozi Mulamula

Tatizo sio Muungano Bali aina ya Muungano!

Kwamfano huku Bara kuna tozo je zenji tozo zipo!!?
 
Kama kuna marekebisho yafanyiwe kazi hii kukaa kwenye viti halafu sisi wote Tz tinanyosheana vidole haifai mbegu za chuki zinapandwa kama vipi iwe kila raia ana uhuru kokote basi
 
Hujui Tanzania wewe. Vyeo havitolewi kwa kufuata uchapakazi. Ukijifanya una akili kama za mnyama nyumbu hutakaa utumbuliwe hata siku moja.
 
Kuna asilimia wanatakiwa wasizidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…