barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Hahaha, umeshakuwa nabii??Mbowe na Lissu sana dili la "kuwapiga" hao wanywa viroba. Kesho tu utamsikia Mbowe akiwataka wamchangie Lissu hela ya fomu. Kisha nauli. Baadae anatangaza Lissu ameahirisha kugombea kwasababu akija nchini atakamatwa. Washapiga hela zao hapo watabaki wanawacheki tu wanywa viroba!
Hakuna cha kutafakari bro. Tafakari wewe. Wengine sisi hizi ndio anga zetu. Nenda Marekani halafu utangaze kugombea urais wa Marekani ukiwa Mexico uone kama utaupata!Tatizo lako lipo kwenye uelewa. Tulia tafakari upya majibu utayapata
Kwani Mandela alitangazwa na nani? Acha kuufunga ubongo wakoSwali langu ni moja tu,hata kama Lissu atashinda urais,nani atathubutu kumtangaza?
Mfumo mzuri ndio uchochea purchasing Power,Kwa maelezo yako hayo, ni vyema ukawasidia majirani na ndugu zako nao wawe na "purchasing power" kama wewe, hakika umaskini kwao utakuwa ni ndoto. Tofauti na hilo, tafakuri upya uwewe.
Hahahahaha!!Nimemtuma kinana kwenda kutibiwa india.
Mark my words!Hahaha, umeshakuwa nabii??
Watanzania wanamwelewa Sana TLAtangazie nia huko ila ajue form hawachukulii huko...
Siku hizi vijana wanywa viroba hawapatikani bro si viroba hamna na Serikali ya JPM imewafanya kujitambua hakuna ushabiki wa kinyumbu nyumbu tena kwa vijana wengi kwa sasa.Mbowe na Lissu sana dili la "kuwapiga" hao wanywa viroba. Kesho tu utamsikia Mbowe akiwataka wamchangie Lissu hela ya fomu. Kisha nauli. Baadae anatangaza Lissu ameahirisha kugombea kwasababu akija nchini atakamatwa. Washapiga hela zao hapo watabaki wanawacheki tu wanywa viroba!
Endelea kusubiri ikufwate haki mkuu .Hata huyo unayemsadiki akifanikiwa utaona mziki wake. Politics siku zote ni bad and dirty game.Tuendelee kupambana na maisha yetu.Hakuna jipya.Tunataka mtu wa haki sio mtu wa mabavu
Lakini mkuu, kuna wengine humu JF wana vijitabia kama walificha "viroba" vya enzi zile!Siku hizi vijana wanywa viroba hawapatikani bro si viroba hamna na Serikali ya JPM imewafanya kujitambua hakuna ushabiki wa kinyumbu nyumbu tena kwa vijana wengi kwa sasa.
Maendeleo ni pamoja na uhuru wa wananchi maendeleo ni pamoja na mihimili mitatu ya dola kufanya kazii kwa uhuru na kutoingiliana katika majukumu.Mkuu kwani maendeleo ni Nini?ukiwa na akili nzuri huwezi ukasema maendeleo ni mafly over and the like?
Unamaanisha nini ?Mwenye kitu sikuzote si mwenzako.Mmoja ana dola mwingine hata ukoplo tu hana.
Mheshimiwa Rais msomi Tundu Lissu ameshamaliza. Kazi kwenu vilaza mob wa MATAGA
Hahaha wazee wa Mbunga za wanyama kule Chatto mumepaniki sana. Tulieni dawa iwaingie vizuri
Hoja yako hapa ni ipi wampe JPM au wampe Lissu ?Endelea kusubiri ikufwate haki mkuu .Hata huyo unayemsadiki akifanikiwa utaona mziki wake. Politics siku zote ni bad and dirty game.Tuendelee kupambana na maisha yetu.Hakuna jipya.