Wimbo wewe na wenye mawazo kama yako hayo, ni ule ule mmekaririshwa, kwamba:
√ Serikali inakusanya kodi - kwani kuna Serikali duniani isiyo kusanya kodi? Fedha iliyojenga na kuboresha miundo mbinu na huduma za jamii kama siyo matumizi mazuri ya hiyo kodi ni nini? Mwrnye macho haambiwi tazama;
√ Dira nzuri inaoneshwa na upinzani. Kuna jipya kutoka upinzani zaidi ya kupinga kila kitu kwa lugha ya mitaani. Korosho, korosho, korosho umekuwa wimbo wa viongozi wa upinzani wakati kuna ushahidi wakulima kwa kipato walichopata mwaka uliopita wa mavuno baadhi yao walimwagilia bia miti yao ya korosho!
√ Mbowe anatafutwa. Atafutwe na nani wakati kauli na matendo yake ndiyo yamemfikisha kutuhumiwa, kufunguliwa mashtaka na hatimaye kutiwa hatiani. Iwapo mashtaka yalikuwa ya uonezmvu au wivu tu, kama amekata rufaa tusubiri matokeo. Lakini jiulize mbona mwenyewe hajatoka hadharani kukanusha tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za chama, unyanyasaji na ulevi wa kupindukia hadi kuteguka kisigino? Kwa nini wewe unamtetea bila ushahidi ila ushabiki tu? Mbowe ni mtu mzima HOVYO;
√ Ni kweli Mbowe siyo dhaifu ndani ya CHAMA CHAKE kwa sababu yeye ndiye mwamuzi wa mwisho wa kila jambo. Hilo la kuamuru wabunge wajifungie majumbani mwao ati kuepuka kuambukizwa korona na baadaye kurejea tena kuungana na wagonjwa walewale, limethibitisha busara na maamuzi ya KIJINGA;
√ TAKURURU imeanza uchunguzi wa tuhuma dhidi yake Mbowe, hivyo tusubiri matokeo.
-korosho mmeliharibu zao like mmechukua export levy,ambayo ilikuwa inatumika kuboresga zao la korosho
-
Wimbo wewe na wenye mawazo kama yako hayo, ni ule ule mmekaririshwa, kwamba:
√ Serikali inakusanya kodi - kwani kuna Serikali duniani isiyo kusanya kodi? Fedha iliyojenga na kuboresha miundo mbinu na huduma za jamii kama siyo matumizi mazuri ya hiyo kodi ni nini? Mwrnye macho haambiwi tazama;
√ Dira nzuri inaoneshwa na upinzani. Kuna jipya kutoka upinzani zaidi ya kupinga kila kitu kwa lugha ya mitaani. Korosho, korosho, korosho umekuwa wimbo wa viongozi wa upinzani wakati kuna ushahidi wakulima kwa kipato walichopata mwaka uliopita wa mavuno baadhi yao walimwagilia bia miti yao ya korosho!
√ Mbowe anatafutwa. Atafutwe na nani wakati kauli na matendo yake ndiyo yamemfikisha kutuhumiwa, kufunguliwa mashtaka na hatimaye kutiwa hatiani. Iwapo mashtaka yalikuwa ya uonezmvu au wivu tu, kama amekata rufaa tusubiri matokeo. Lakini jiulize mbona mwenyewe hajatoka hadharani kukanusha tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za chama, unyanyasaji na ulevi wa kupindukia hadi kuteguka kisigino? Kwa nini wewe unamtetea bila ushahidi ila ushabiki tu? Mbowe ni mtu mzima HOVYO;
√ Ni kweli Mbowe siyo dhaifu ndani ya CHAMA CHAKE kwa sababu yeye ndiye mwamuzi wa mwisho wa kila jambo. Hilo la kuamuru wabunge wajifungie majumbani mwao ati kuepuka kuambukizwa korona na baadaye kurejea tena kuungana na wagonjwa walewale, limethibitisha busara na maamuzi ya KIJINGA;
√ TAKURURU imeanza uchunguzi wa tuhuma dhidi yake Mbowe, hivyo tusubiri matokeo.
- siyo miundombinu yote imejengwa na kodi zetu,nyingine imejengwa kwa mikopo
-zao la korosho mmeliharibu kwa kuchukua export levy ambayo ilikuwa inatumika kuboresha zao
- mnawabambikizia kesi halafu mnawatia hatiani refer the case of akwilina yule aliyempiga risasi ametolewa kwa mole prosequi halafu eti kina mbowe ambao hawajapiga risasi wametiwa hatiani inaingia akilini?
-juhusu matumizi mabaya ya fedha ripoti ya CAG ya 2018/19 imetoa hati safi tafsiri yake ni kwamba mahesabu yako clear hakuna ufisadi
-hakuna aliyenyanyaswa kingono hao ni waongo na ni tuhuma za kupika waende takukuru basi halafu watoe maelezo kwamba walinyanyaswa vipi kingono? Ilikuwaje ?
-Mbowe hakuwa amelewa huo ni uongo kuthibitisha hilo mbona hawataki kuzungumzia footage za CCTV camera? Kwa nini wameruka ushahidi wa kielektroniki ambao unakubalika mahakamani kwa mujibu wa sheria ya ushahidi, kwa nini wategemee ushahidi wa kuambiwa (hear say) wakati footage zipo? Kwa nn wasingechukua ushahidi wa footage halafu waCorroborate na ushahidi wa kuambiwa kuona kama vinamatch?
-mbowe siyo mwamuzi wa mwisho chama kinaendeshwa kwa vikao na maamuzi yanaendeshwa na vikao ndiyo maana unaona kikao cha kamati kuu kinakutana halafu baadae unasikia 'Resolution' za kamati kuu maana yake hayo ni maamuzi ya kamati kuu siyo ya mtu mmoja, pia kuna baraza kuu, kuhusu korona lazima ujue kila mtu analinda usalama wake kujitenga ilikuwa sawa kwa sababu kwa hali ilivyokuwa ilikuwa ni sawa kujitenga ili kujilinda kwa sababu ukiupata mateso utayapata wewe binafsi hautapata mateso hayo na ndugu zako nk
-kuhusu takukuru kinachofanyika ni kutumia muda vibaya tu kwa sababu ripoti ya CAG iko wazi kuhusu usafi wa chama kifedha, katiba iko wazi kuhusu makato hayo ya wanachama
-
-