Uchaguzi 2020 Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Juni 08, 2020

Mungu akujalie...ushindane kwa haki pia ujilinde maana walio kupasua ata unaeshindana nae hawajui...mm binafsi nakuombe Mungu uchaguliwe kwanza na chadema then uje kupambania kombe

Sasa saiv watanzania wote tunatakiwa kusikiliza hoja....maana hoja inajibiwa kwa hoja....kipitia malalamiko ya lissu yajibiwe kwa hoja na sera ambazo zitatuvusha 2020-2025 na sio kuuwana kila mtu anayapenda maisha...kisichoo kuuwa ujue kitakukomaza kiaskarii
 
Reactions: PNC
Viti maalumu katika ubora wake.

We subiria kubebwa wenzako wanaonyesha uthubutu kutia nia wewe umekalia majungu.

Tuliza kijambio.
 
Reactions: UCD
.........
..........naisoma naisoma naisoma Nondo Nondo Nondo
 
Kila la kheri Tundu Lisu, Mungu aendelee kusimama na wewe, Watesi wako hawajalala
 
Umezindukia wapi we binti?
Nitajie mwanasiasa mmoja tuu anayeweza kujibu hiyo statement ya Lissu ya kutambulisha umma nia na lengo lake? Mmoja tuu, maana inajulikana wazi mzee wa barakola hawezi itakuwa kumuonea tuu.
Hapa ndio tunakumbuka maneno ya Polepole kabla hajaharibikiwa akili.

Your browser is not able to display this video.
 
 
Daah Lisu kweli utopolo yaani kajaza mimaneno kibao na sentensi kama upoyoyo wa makinikia hajui kusummarize repetition kibao kaweka zinki, zebaki, helium, copper, vuluvululu. Kichwani kumevurugika kbsa. Yelewi....wakosha...hiiiii!!
Andika yako tuione, kama essay tu zilikushinda form 4 utamuweza mwanasheria???
 
Naona amezungumza kero za waliomtuma lakini siyo za watz!
 
Membe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka huu ni suala la muda tu.
 
Lisu anatapatapa
 
Kuna hoja hapo ya kujibu? Naona kuna upoloto tu. Kero alizozizungumza si za watz labda za hao mabeberu waliomtuma na wanasaccos.
 
Mwenyezi Mungu mbariki sana Tundu Lissu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…