Uchaguzi 2020 Hotuba ya Tundu Lissu kuwania Urais: Neno wajumbe limepata maana mpya 2020

Lazaro Nyalandu tunamjitaji asiondoke
Kama akitaka kuunganisha nguvu, we need him so soo much!! Ila kama akiona haifai aachwe aende, kanda anayoiongoza (ya kati) Lissu ni popular kuliko Nyalandu.

Lissu upepo wake jimboni ulikuwa unamtikisa hadi Nyalandu jimbo la jirani, in short umuhimu mkubwa wa Nyalandu ni kumnadi Lissu kanda ya kati ambapo hata hivyo naweza kupaita kama strong hold ya Lissu kwani anakubalika sana.
 
Mwanaume wa shoka ana chanja tu hajui kisiki wala kigogo
Anachanja Tena? Kweli Ufipa wamejaa misukule. Uchumi wa Kati tayari, National Carrier, SGR, Stiglers Gorge n.k
 
Nyalandu muoga muoga sana yule,analetaga busara nyingi sehemu zisizohitajika.
Namjua Nyalandu tangu kaanza safari ya kisiasa akiwa kijana mdogo, itoshe tu kusema hawezi kuwa mpinzani wa kweli.
 
Huyu kamanda Lazaro Samuel Nyalandu tunamhitaji katika serikali yetu mpya, anafaa nafasi za kidiplomasia kama balozi au hata waziri wa Mambo ya Nje.
Endeleeni kuota. Fikiria 2015 mlikua na Mamvi bado mkakaa itakua 2020
 
Ni Silinde mkuu, huyu Lusinde ni wa mboga mboga.
Hahaha asante kwa kunisahihisha mkuu. Kwa kukiwakilisha chama cha CHADEMA kwa nafasi ya urais hawa wasaliti wangekuwa na uwakika wa nafasi zao, lakini hawakuona mbali.
Vijana wenzangu wameniangusha
 
Wajumbe wamemfanyia Nyalandu(ex-CCM) kitendo kama walichofanyiwa Ex-CDM ndani ya CCM
 
Lisu alistahili ushindi...Kwanza sio muoga, pili anaongea cha haki.

Leo Lisu amejieleza kuwa atasimamia Ilani ya Chadema, na kukumbusha viongozi kuwa huu uchaguzi sio lelemama. Kudos

Tusimwache Yule Mdada na tumshike Nyalandu. Ni demokrasia, tusimkebehi yeyote.

Member atuunge mkono, ACT wazalendo Haina mtaji Kama Chadema
 
Hahaha asante kwa kunisahihisha mkuu. Kwa kukiwakilisha chama cha CHADEMA kwa nafasi ya urais hawa wasaliti wangekuwa na uwakika wa nafasi zao, lakini hawakuona mbali.
Vijana wenzangu wameniangusha
Pengine Mungu aliruhusu haya mapema!! Imagine unapanga mikakati yako na hawa vijana ni wajumbe wa mkutano mkuu, habari zinauzwa asubuhi tuu.
 
Hotuba zao zilikuwa tofauti mno, hotuba ya Lissu inakuamsha hata kama unasinzia. The guy was born to be a leader. May God Bless Him.
He was born to be activist
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…