gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,920
- 6,081
Ngoma draw.
Wajumbe wamemfanyia Nyalandu(ex-CCM) kitendo kama walichofanyiwa Ex-CDM ndani ya CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajumbe wamemfanyia Nyalandu(ex-CCM) kitendo kama walichofanyiwa Ex-CDM ndani ya CCM
Huyu kamanda Lazaro Samuel Nyalandu tunamhitaji katika serikali yetu mpya, anafaa nafasi za kidiplomasia kama balozi au hata waziri wa Mambo ya Nje.
Hey mkuu can you please put it in here, some of us didn't hear it. It looks like it was really of political and true transmissive and inspirationally.
3 August 2020
Tundu Lissu mbele ya wajumbe wa Baraza Kuu
Source : ABC Habari
Hahaha wanakufyekelea mbali kimwili na kichawi ingawa mipango ya Mungu huwa daima haipingwi Lissu ni mpango wa Mungu hakikaPengine Mungu aliruhusu haya mapema!! Imagine unapanga mikakati yako na hawa vijana ni wajumbe wa mkutano mkuu, habari zinauzwa asubuhi tuu.
Makaburu walifanya zaidi ya haya na watu waliwatoa! Watu wanataka democracyAnachanja Tena? Kweli Ufipa wamejaa misukule. Uchumi wa Kati tayari, National Carrier, SGR, Stiglers Gorge n.k
Mamvi alikuwa hajui kujieleza!Endeleeni kuota. Fikiria 2015 mlikua na Mamvi bado mkakaa itakua 2020
Vikao vya CHADEMA na ACT viendelee ili Membe amuunge mkono TLS ili wajenge serikali moja kama watafanikiwa kushinda uchaguzi mkuu 2020Lisu alistahili ushindi...Kwanza sio muoga, pili anaongea cha haki.
Leo Lisu amejieleza kuwa atasimamia Ilani ya Chadema, na kukumbusha viongozi kuwa huu uchaguzi sio lelemama. Kudos
Tusimwache Yule Mdada na tumshike Nyalandu. Ni demokrasia, tusimkebehi yeyote.
Member atuunge mkono, ACT wazalendo Haina mtaji Kama Chadema
Na yule Mataga David SilindeImfikie Bashite na Lijuakali
Sema alikata fuba Mangi akabadili gia angani. Bula kujali sifa za kiongozi wa kuongoza nchi.Mamvi alikuwa hajui kujieleza!
Kimsingi wajumbe siyo balaa,Bali hao wasaliti kina Nasari et al walijitoa fahamu kujua km ccm Ina wenyewe,na wanaccm walikua walishaandaa watu wao tyari,leo unakuja msaliti na tamaa zako unataka uteuzi.Gulio limeisha.Na Nassari kule Meru, bila kumsahau Calist Lazaro na Gerkul..
Wajumbe ni blaa
Kama wewe ni CDM endelea ku-comment humu jf ila I'd hupewiMsaada tutani:Kama sina kadi ya kupiga kura hadi leo ninaweza kufanya nini ili niipate?
..Kwa wajumbe wamechezea za uso ila huko kwenye mamlaka ya uteuzi huenda wakakumbukwa..Imfikie Bashite na Lijuakali
Utashangaa hayo matokeo hayapingwi popote. Kweli demokrasia bado sana
Unamaanisha niniDamu ya lisu italikomboa taifa naamini watoto wake hawatamsaliti baba Yao.
Ila kwa Nyarandu ni tofauti na hao uliowataja X CDM. Mh Nyarandu ana miaka zaidi ya miwili ndani ya chama, na hakukuwa na msukosuko wowote wa kimaslahi uliomwamisha kutoka chama kile ila tukio lililomkuta ndugu yake wa sehemu moja na kukataliwa kwenda kumtembelea hospitali, ila yeye alienda kuonesha thamani ya undugu na Utanzania tulioasisiwa tangia nchii hii inapata uhuru.Wajumbe wamemfanyia Nyalandu(ex-CCM) kitendo kama walichofanyiwa Ex-CDM ndani ya CCM
Nadhani makubaliano ya safari hii yawe simple tu, Act kupitia Maalim Seif waachiwe Zanzibar then wao waiunge mkono Cdm kwenye urais bara.Vikao vya CHADEMA na ACT viendelee ili Membe amuunge mkono TLS ili wajenge serikali moja kama watafanikiwa kushinda uchaguzi mkuu 2020
Kuna MTU Fulani some where pressure iko juu muda huu