Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

Hahahhhahh.....Warioba leo anawachana vibaya vibaya mpaka aibu..
Mkuu, kinachonipa hofu ni kuona wabunge wa Zanzibar bila kujali itikadi zao wanashangilia sana hotuba ya Warioba. Wana ajenda ya siri hawa
 
"Kama kuna jambo moja ambalo wazanzibari wa makundi yote wanakubaliana, ni Zanzibar kuwa nchi" kasema Warioba.
 
Nimegundua kwanini Sitta alitaka Warioba atumie dk 60 tu kumbe alijua hizi nondo zingewaacha uchi.......sasa naelewa.
Mkuu, kwani kama angetumiahizo dakika kueleza mambo haya si ingekuwa vema tu?
 
Naangalia na kusikiliza Hotuba ya kihistoria kutoka kwa JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA!
 
Zikishatengenezwa hizo DVD zisambazwe kwa wananchi. Pia isambazwe kwa njia nyingine yoyote iwe ni kutengeneza mp3 n.k! Hususani ufafanuzi juu ya Muundo wa Muungano! Hii itawezesha kupata ukweli usioegemea upande wowote.

Kazi hii ifanywe na WanaHarakati au wengineo wenye mapenzi mema na nchi yetu! Ripoti yake inaelezwa reality na haiko biased

Kwanini baadhi ya pesa za kukodia chopa itakayotumika Chalinze isitumike kutengeneza hizo DVD.
 
Hivi jamani ee samahani kwa kuwachepua nje kidogo ya mada, kweli yote haya yanayoendelea kuwasilishwa na Warioba yangewezekana kuwasilishwa kwa dakika 120 tu? Hisia zangu ni kua wachezaji wa timu 'ile' hasa kiungo mkabaji ni MNAFIKI SANA, tumwogope kama shetani. Asanteni, karibuni tuendelee na kumsikiliza Warioba.

Kaka hujatutoa nje huu ni hualisia kuwa Kiungo alitaka kuchezesha yake.
 
Ameniudhi tu anapotetea muungano lakini anapendekeza serikali tatu. Ningemuona wa maana kama angependekeza serikali moja

Si amekupa sababu,unatakaje apendekeze jambo lisilowavutia Washirika,kwani tunaungana peke yetu(Tanganyika),kila muungano ameeleza chanya na hasi
 
Nimegundua kwanini Sitta alitaka Warioba atumie dk 60 tu kumbe alijua hizi nondo zingewaacha uchi.......sasa naelewa.

Umeona ee? Namba kumi kasoro nne ni bonge la bweggge bweggge tena puumbaavuuu.
 
"Kama kuna jambo moja ambalo wazanzibari wa makundi yote wanakubaliana, ni Zanzibar kuwa nchi" kasema Warioba.
Hakika mkuu. Na wazanzibari wote nimewaona wanashangilia hilo. Wqna ajenda ya siri
 
Kiukweli Warioba leo anawasilisha maoni halisi ya wananchi, nimeshawishika kukubaliana na maelezo yake.

Leo ndo cku nloelewa vizuri izo kero za muungano kwa kumsikiliza uyu baba.No wei serikali 3 ndo suluisho.
 
mh mwenyekiti ni bonge la mnafiki
Mwenyekiti gani mkuu. Maana kwenye bunge hili sasa kuna wenyeviti wengi kama Mbowe, Warioba, Lipumba, Mbatia, Dovutwa, Hashim Rungwe, Sitta nk
 
Leo ndo cku nloelewa vizuri izo kero za muungano kwa kumsikiliza uyu baba.No wei serikali 3 ndo suluisho.
Kama tunaelewa kero za muungano kupitia speech ya warioba, basi tumekwisha. Me nilijua hizi kero tunazijua?
 
Back
Top Bottom