Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

Ndugu aya mambo uwa nayaskia ki juu juu.Leo nmeelewa.
Pole sana Mkuu. Yapo mengi sana mengine ambayo warioba hajaeleza. Hivi unajua kuwa wewe wa Tanzania bara kuoa mke mpemba inakuwa ishu? Hivi unajua kuwa wewe mtanganyika huwezi kupata kipande cha ardhi kulemZanzibar? Zipo nyingi mkuu
 
Kwa nondo za leo zinazoendelea kushushwa na mzee wa busara Warioba, napendekeza apewe ulinzi madhubuti kuanzia sasa hadi Mungu atapomchukua, nadhani mkinisoma kwa makini mtanielewa nimemaanisha nini.

Hahahahahahaaaa! Usijali mkuu! Warioba meno hana na kabla ya kuingia pale, ameshakata kucha zake!
 
Kinachotaka serekali 2 ni chama cha mapinduzi na wale wote ambao maisha yao yote wamewekeza ndani ya CCM lakini wtz wengi wanataka serekali 3 ambazo zitaifanya Tanganyika irudi.Ikishindikana pawepo na serekali moja yenye nchi moja ya Tz.
Mkuu, wana wasiwasi kuwa mamlaka ya Tanganyika ikiwepo italirejesha Azimio la Arusha. Hivo wanang'ang'ania serikali mbili waendelee kuula.
 
Kuna kitu kinaniambia muundo wa serikali tatu ukipita kuna vitu vitasababisha argument kwa waumini wake.
 
Warioba is our hero. Warioba is made of steel ,CCM mbao tupu.Mungu na Mtume tutagawana mbao muda si mrefu.
 
Mkuu, huyu ni Mwenyekiti wa Tume ya Katiba hivyo ana walinzi. Na isitoshe ni Waziri Mkuu mstaafu hivyo lazima awe na walinzi

Kama ni hivyo sawa ila kwa mwenendo wa mambo yalivyo sasa anahitaji ulinzi huru na shirikishi, tuendelee na hotuba kaka huku tutarudi badae.
 
JK atakuwa na kazi ngumu sana ya kupangua hizi hoja...maana Mzee Warioba anatoa hoja kwa vielelezo...ni ngumu kwelikweli.
Kwani umesikia JK anakuja kumjibu warioba? Unajuaje pengine anataka muundo wa serikali moja?
 
Mkuu, wana wasiwasi kuwa mamlaka ya Tanganyika ikiwepo italirejesha Azimio la Arusha. Hivo wanang'ang'ania serikali mbili waendelee kuula.
Azimio la arusha halina tatizo wewe ndiye unalijofia sijui kwa mantiki gani.
 
[h=1]Bunge lavunjikaBUNGE Maalum la Katiba, limevunjika ghafla baada ya Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta kukataa kuwasikiliza wajumbe waliokuwa wakimlalamikia kuvunja kanuni.[/h] Written by makame silima // 18/03/2014 // Habari // 1 Comment

PM-Miizengo-PInda-akibadilishana-mawazo-na-MP-wa-Urambo-Samuel-Sitta.jpg
Bunge lavunjika
Wajumbe waparaganyika, Warioba akwama kuhutubia
by Edson Kamukara
Bunge lavunjikaBUNGE Maalum la Katiba, limevunjika ghafla baada ya Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta kukataa kuwasikiliza wajumbe waliokuwa wakimlalamikia kuvunja kanuni kwa kumruhusu Mwenyekiti wa Tume Maalum ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kuwasilisha rasimu ya Katiba badala ya Rais Kikwete kulihutubia Bunge.
Dalili za Bunge hilo kuingia dosari zilianza kuonekana tangu mapema mchana baada ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Uwaka) kutofautiana na Sitta kuhusu kutengua kanuni bila kufuata utaratibu.
Kanuni ya 7-(1) (g) na (h) inasomeka kuwa; 7- (1) Shughuli za Mkutano wa Bunge Maalum zitakuwa kama ifuatavyo: (g) hotuba ya ufunguzi ya Mgeni Rasmi (Rais Kikwete); (h), uwasilishaji wa Rasimu ya Katiba (Jaji Warioba).
Hata hivyo Sitta alitengua kanuni hiyo ili kumpa nafasi Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba awasilishe rasimu ya katiba kabla ya hotuba ya ufunguzi ya Rais Jakaya Kikwete.

BONYEZA WEB

KAMATI YA MARIDHIANO SIX WARIOBA APIGWA STOP BUNGENI - YouTube

Penda kusoma thread za wenzako, habari hii ni ya jana... futa delete unajaza server tu ya Jf
 
Nashauri wananchi rupige kwanzq kura ya kuamua quna ya muungqno tuupendao. Naona warioba anaanza kutuchangamya
 
Back
Top Bottom