Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

Hizi nondo hata mwalimu nyerere angekubali muungano huu feki ufe.

Kwa mara ya kwanza naunga mkono kura ya siri.

Kwani hawa wanzanzibari wataturudishia nchi yetu kwani hata wa ccm watapigia kura serikali 3!!
 
Bora ingekuwa, mbunge akifariki aliyeshika nafasi ya pili anapanda pale juu, coz angalau wananchi walimsikiliza wakati wa kampeni, sasa hii ya chama kuteua mtu napata shida kidogo
Hiyo unayopendekeza italeta watu kuuana sana. Mtu akijua yeye ameshika nafasi ya pili, kumuua aliyeshika nafasi ya kwanza inakuwa ni mojawapo ya options za yeye kujitwalia ubunge. Au unalionaje hilo?

Btw, mimi natazama haya yaliyojiri chalinze kwa "macho manne manne"...dont quote me please:A S embarassed:!
 
Hizi nondo hata mwalimu nyerere angekubali muungano huu feki ufe.

Kwa mara ya kwanza naunga mkono kura ya siri.

Kwani hawa wanzanzibari wataturudishia nchi yetu kwani hata wa ccm watapigia kura serikali 3!!

lazima akae hapa hiki kichwa ni balaa
 
Kinachotaka serekali 2 ni chama cha mapinduzi na wale wote ambao maisha yao yote wamewekeza ndani ya CCM lakini wtz wengi wanataka serekali 3 ambazo zitaifanya Tanganyika irudi.Ikishindikana pawepo na serekali moja yenye nchi moja ya Tz.

Upo sahihi kabisa!unajua kua HOTEL YA SEA CLIFF yale majengo pale yota ni ya mama Karume?Golden tulipi kupitia kwa Ladwa ni ya Mzee Mwinyi?hao ni familia zenye maslahi na serikali 2.wengine ni wapambe tuu
 
Mtikila anafrahia kurudi Jamhuri ya Watu wa Tanganyika
 
Kama CCM hawajamwelewa Warioba then itakuwa ni ukweli zaidi kwamba wanafikiria kwa kutumia matumbo (Komba, Kificho, Leonidas Gama) na/au makalio
Mzee msomi ameeleza kila kitu wazi, vizuri, taratibu na kwa mtiririko wenye mantiki, very nice
 
Leo jaji earioba ameua kabisa .sipati picha itakavyokuwa wakati wa mjadala ukifika
 
Naishiwa nguvu kwa jinsi warioba anavyotetea kitu ambacho hakina uhalisia. Anetumia muda mwingi kupendekeza serikali moja ningemuoma wa maana sana
 
Nashauri wananchi rupige kwanzq kura ya kuamua quna ya muungqno tuupendao. Naona warioba anaanza kutuchangamya

Mkuu umechanganywa wapi?
Au nawe ni miongoni mwa wale wasiopenda kuambiwa ukweli?
 
Kuna mbunge hapa amejilalia tu hana shida!!

Akitoka anaenda kudaka laki 3.
Kumbe kuna watu wenye akili huko ccm!!

Wasira katoa macho tu hapa.
 
Kwa hizi nondo za Warioba,Wanafiki wote Dawa yao ni kuwafungia chumba kimoja na kusiliza hii Hotuba ya Jaji wa Ukweli Warioba,yaani JK akija na Hotuba yake atapwaya tu"nje ya key"
 
Kutokana na presentation ya Mzee Warioba, nimejifunza kuwa hadi sasa Zanzibar ndiyo determinant wa aina ya muungano unaopendekezwa wa serikali tatu.
 
Back
Top Bottom