Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Hizi nondo hata mwalimu nyerere angekubali muungano huu feki ufe.
Kwa mara ya kwanza naunga mkono kura ya siri.
Kwani hawa wanzanzibari wataturudishia nchi yetu kwani hata wa ccm watapigia kura serikali 3!!
Kwa mara ya kwanza naunga mkono kura ya siri.
Kwani hawa wanzanzibari wataturudishia nchi yetu kwani hata wa ccm watapigia kura serikali 3!!