mkabasia
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 2,966
- 2,634
Pole sana Mkuu. Yapo mengi sana mengine ambayo warioba hajaeleza. Hivi unajua kuwa wewe wa Tanzania bara kuoa mke mpemba inakuwa ishu? Hivi unajua kuwa wewe mtanganyika huwezi kupata kipande cha ardhi kulemZanzibar? Zipo nyingi mkuu
La ardhi nalo nmeliskia leo.Sasa 2nang'ang'ania nini Zanzibar.