Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,581
Watu wanakosea kuleta ushabiki wa vyama vya siasa kwenye mambo ya msingi ya taifa letu.
Ushabiki wa vyama umetufikisha pabaya sana umetuondolea mpaka uzalendo wetu kwa taifa letu.
Hii katiba siyo ya CCM, CUF, NCCR Mageuzi wala vyama vingine vya siasa ni katiba ya taifa letu.
moja ya sababu ya ujio wa vyama vingi ndo hiyo,tunagombana mpaka ngaz ya familia kwa tofaut za kisiasa,mtu wa chama fulan hata akiongea ponit as long mpo tofaut basi watu wanampinga