Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa ametoka kuichimba vizuri usiku kuchaDk 240
nawaza Ole Msendeka atafanya kaz gani baada ya Ubunge,na hapo kwenye komo wa ubunge,they have to bold,ila spika kutokua mwanachama inaweza isiwe na tija,si mmeona wajumbe walopitia asasi like KINGUNGE
Ugeweka hoja za msingi kusapoti andiko lako lakini naona hii siyo sawa make huna hoja ya msingi kwa hili.
Yeah.anaeleza sura za kariba na maudhui yake. Sehemu kuba ameeleza mihimili ya dola. Ameanza na rais kaja bunge na hatimaye mahakama. Ameeleza rume ya utumishi, uraia na hivi punde kazungumuza muundo wa muungano ambapo amesema kuwa muundo uliopendekezwa ni wa serikali tatu. Bado anarudia rudia yale yale aliyoeleza mwanzo.Chabruma nipe mtiririko tafadhali nilichepuka kidogo ila nimekuta Warioba yuko ktk kuzungumzia rasimu kwa sura kwa kuzingatia maudhui yake
Exactly,Kama ilivyotokea Juzi.Faida ya hili ni kuokoa gharama
Hasasa yake ni kuwekewa mbunge asiyefaa wala kukubalika kwa wananchi
Muungano ni wa serikali tatu.
Ninamashaka na hapa hasa Kikwete kama atakubali panzi aozee mikononi mwake,tumpongeze Warioba kusimama hili pamoja na kula mezani kwa Nyerere.
Halmashaur ya Manispaa ya Kinondon imefuta mashamba yote yaliyopo wilaya ya Kinondon,including Ya Bunju ambayo yatagaiwa as viwanja,sasa tutaheshimiana mjini tu,wataenda kwenye field zao za zaman,kama kuchunga mbuz,Potelea mbali mkuu bora iwe hivyohivyo spika kutokuwa na chama, umeona Ndugayi na Wenyeviti wake walivyokuwa wanafanya ubabe utafikiri Bunge ni mali ya mjomba wao kumbe ni Bunge la Watanzania.Hao Wabunge nao yatosha 15 waenda kulima mashamba yao kule Bunju,maana hata mtoto wa mkulima alishauri hivyo.