Ina maana kwa sasa, tunapoteza maisha ya watu zaidi ya 2,000 kwa mwezi!!
Kwa hakika inawezekana na hata zaidi. Kokotoa uone kuna mikoa na wilaya ngapi.
Uone watu hao ni wangapi kwa wilaya kwa siku.
Bila kusahau kuna mikoa kuna habari za mochwari kujaa.